carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 262
You should have done that by now.Afu wewe si nlikwambia ntakutia kwenye ignore list yangu?........
You should have done that by now.Afu wewe si nlikwambia ntakutia kwenye ignore list yangu?........
You should have done that by now.
Akishaichoka hiyo nyama ya kasuku atahamia kwenye nyama ya NEMBO YA TAIFA (twiga) halafu uje uone cha moto.............Mke wangu anataka nyama ya kasuku.
Anamaanisha usiowaelewa wote waweke kwenye hiyo list yako..............Sijakuelewa hapo. Hebu tumia kiswahili........LOLZ!
Hahaha! Katoto kabishi haka! Dah!
Anamaanisha usiowaelewa wote waweke kwenye hiyo list yako..............
Nipigieeeeeeeeeeeeeee mpenzi nipigieeeeeeeeeeeeee!
Ntakupigia darliiiiiiiiiiiiiiin!
Sihitaji aniletee chochote.Ila anipigie tu akiwa kwa job na kuniambia 'I love you my capeti'
Ndio hapo napokupendea.Unani-understood sana yani.Understood. Subiri kidogo ni-do the needful!
hii nimeipenda.mara nyingi hapa huwa ni unyumba tu(hamna cha maongezi wala nini)leo kunywa bia nane tu - usiku nina maongezi na wewe
hapo inabidi iwe wikiendi mpwaaz!kwamba kesho yake ni kulala tu...adhawais ITALETA MATATIZOHoney leo utakunya konyagi nimekuwekea nusu mzinga kwenye friji ila hizo savana usiziguse! zangu hizo!
'mpenzi leo usichelewe kurudi coz nimeku miss kuliko kawaida'
hapo inabidi iwe wikiendi mpwaaz!kwamba kesho yake ni kulala tu...adhawais ITALETA MATATIZO
kauli hii hunifanya nitembee mawinguni hata kama ni juzi tu katoka kunitunuku!:d
jamani hebu muwe mnatuamabia hata kiuongo uongo tu ilimradi mwonyeshe mnamaanisha! Inabooost sana libido zetu!:d
hehehehehehe!ngoja na mimi...............Kweli mpwaaz ama naongopa! hakuna kitu chema kama kujua kuwa unahitajika ukatumike!
We unafikiri kwanini tukifumania tunawaka kiasi cha kuua mtu! Unakumbuka hata hizi kauli za kuhitajiwa then unapiga picha kuwa mwizi wako ndio amekuwa akipewa! we acha tu!
Kweli mpwaaz ama naongopa! hakuna kitu chema kama kujua kuwa unahitajika ukatumike!
We unafikiri kwanini tukifumania tunawaka kiasi cha kuua mtu! Unakumbuka hata hizi kauli za kuhitajiwa then unapiga picha kuwa mwizi wako ndio amekuwa akipewa! we acha tu!