Wakizubaa tu CHADEMA haifiki 2015

Peter Fabian

Member
Jul 18, 2011
73
7
Huu ndio mguso wa fikra zangu kwa leo!kiukweli ni chama pekee ambacho kwa sasa kimeonyesha kupendwa na wananchi wengi hasa hasa vijana na hii ni kwa sababu ya ujasiri na uwazi wa viongozi wake ambao waliamua kuyatoa maisha yao kwa ajili yawatanzania,walizika wazi kashfa zote nzito walizofanikiwa kuzijua kwa hoja zenye msingi imara,wasiwasi wangu ni juu ya kushuka kwa umaarufu wa chama hicho,ndiyo chama hichi cha vidole viwili,umaarufu wake si mkubwa sana kwa sasa kulinganisha na kipindi kile alichokuwepo Dr.Claa ndani ya mjengo,pia moto wao ndani ya bunge si mkali sana kama zamani walivyokuwa wachache,pia hata nafasi aliyo nayo Mboy kama kiongozi wa upande wa pili hajaweza kuitendea haki na furungu baina yao na kupigana pia kunanipa mashaka kuwa kwasasa ndani ya chama cha vidole viwili wameingia mamluki ambao mi wananipa ujasiri wakusema kinaweza kisifike 2015 ingawa ndio chama kilichobeba matumaini ya watanzania wengi katika nyanja zote,jamani ukitaka inzi wasikufuate sharti utupe mzoga,mnahaja ya kujitanzama marambili mkitaka kufika 2015 kwa amani kama ilivyokuwa 2010
 
Hustahili si tu kuwa jeshini bali hata uongozi utakushinda,matatizo ni sehemu ya maisha popote pale na ni kipimo kizuri cha uwezo wa mtu...never give up,there is always hope!!!CDM ipo na ipo ili kushinda,peeepoooooooooooooooooooooooooooooo...
 
Huu ndio mguso wa fikra zangu kwa leo!kiukweli ni chama pekee ambacho kwa sasa kimeonyesha kupendwa na wananchi wengi hasa hasa vijana na hii ni kwa sababu ya ujasiri na uwazi wa viongozi wake ambao waliamua kuyatoa maisha yao kwa ajili yawatanzania,walizika wazi kashfa zote nzito walizofanikiwa kuzijua kwa hoja zenye msingi imara,wasiwasi wangu ni juu ya kushuka kwa umaarufu wa chama hicho,ndiyo chama hichi cha vidole viwili,umaarufu wake si mkubwa sana kwa sasa kulinganisha na kipindi kile alichokuwepo Dr.Claa ndani ya mjengo,pia moto wao ndani ya bunge si mkali sana kama zamani walivyokuwa wachache,pia hata nafasi aliyo nayo Mboy kama kiongozi wa upande wa pili hajaweza kuitendea haki na furungu baina yao na kupigana pia kunanipa mashaka kuwa kwasasa ndani ya chama cha vidole viwili wameingia mamluki ambao mi wananipa ujasiri wakusema kinaweza kisifike 2015 ingawa ndio chama kilichobeba matumaini ya watanzania wengi katika nyanja zote,jamani ukitaka inzi wasikufuate sharti utupe mzoga,mnahaja ya kujitanzama marambili mkitaka kufika 2015 kwa amani kama ilivyokuwa 2010


Mchango huu wa kizembe ama mada mfu hii inalisaidia nini Taifa leo halina umeme na matatizo kibao ? Tuache kweli kujadili mda za maan turudi hapa ? Jamani hebuh tuwe makini na uanzishwaji wa mada .
 
Huu ndio mguso wa fikra zangu kwa leo!kiukweli ni chama pekee ambacho kwa sasa kimeonyesha kupendwa na wananchi wengi hasa hasa vijana na hii ni kwa sababu ya ujasiri na uwazi wa viongozi wake ambao waliamua kuyatoa maisha yao kwa ajili yawatanzania,walizika wazi kashfa zote nzito walizofanikiwa kuzijua kwa hoja zenye msingi imara,wasiwasi wangu ni juu ya kushuka kwa umaarufu wa chama hicho,ndiyo chama hichi cha vidole viwili,umaarufu wake si mkubwa sana kwa sasa kulinganisha na kipindi kile alichokuwepo Dr.Claa ndani ya mjengo,pia moto wao ndani ya bunge si mkali sana kama zamani walivyokuwa wachache,pia hata nafasi aliyo nayo Mboy kama kiongozi wa upande wa pili hajaweza kuitendea haki na furungu baina yao na kupigana pia kunanipa mashaka kuwa kwasasa ndani ya chama cha vidole viwili wameingia mamluki ambao mi wananipa ujasiri wakusema kinaweza kisifike 2015 ingawa ndio chama kilichobeba matumaini ya watanzania wengi katika nyanja zote,jamani ukitaka inzi wasikufuate sharti utupe mzoga,mnahaja ya kujitanzama marambili mkitaka kufika 2015 kwa amani kama ilivyokuwa 2010
Inscrutable..
 
Hivi haya matatizo yaliyoko CHADEMA unaweza kuthubutu kuyafananisha na yaliyoko CCM kwanini hujasema...wazubaa tu CCM haifiki mwezi wa nane...
 
Back
Top Bottom