Mhh huyo JK wa chalinze nguo gani hizo za ujenzi??? kweli mvivu, kwanza alikuwa kenya hapo kwenye kampuni ya maziwa ya brookside. cheki huyu JK origino anavyopiga mziko musoma
kwanza huwezi kufanya kazi na nguo za sikuu,pili huyo mmoja hataki kuchafuka wakati mwenzake amebeba na mikono yake,isitoshe wamembebea baadhi ya vifaa.hao watu hao ni sawa na mbingu na ardhi kiumbali,mwisho mmoja anajenga home mwingine yupo kwenye utalii wa kawaida.
Mbona huyu mmoja anatangaza biashara ya Rockside kama nimesoma vizuri, ndio chanzo cha kuja kuvalishwa nguo za matangazo ya biashara bila wewe mwenyewe kujijua
Mh...brookside kabisa!??
Kidogo nianze kumtetea JK wa Chalinze kuwa enzi hizi za maendeleo lazima ufanye kazi kwa kujilinda ila iyo chata imenishtua...na brookside nao washakuja kuinvest huku??! Tanga fresh itakufa sasa hivi maana nna uhakika mshkaji apo anapata share za kutosha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.