Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 49
Suala hili linanishangaza sana na mbaya zaidi tatizo hili linazidi kukua.
Kuna hili tatizo la wakina dada kushindwa kunyonyesha watoto wao kwa sababu yakutokutoa maziwa, wengine unakuta maziwa hayatoki hata tone.Hii inasababisha watoto wao kunyonya maziwa ya kopo. Kwa sasa nimeanza kuhisi kuna tatizo kwani nina wasiwasi kesi hizi zikawa nyingi,nikiamini nilizozisikia ni chache kati ya hizo nyingi.
Najua kuna wanasayansi humu,ebu tupeni sababu zinazoweza kusababisha mama kushindwa kutoa maziwa ya kumnyonyesha mwanae na nini kifanyike hali hii ikitokea.
Wakati mwingine ufikiri labda dada zetu hawataki kunyonyesha watoto, ni fikra tuu.
Kuna hili tatizo la wakina dada kushindwa kunyonyesha watoto wao kwa sababu yakutokutoa maziwa, wengine unakuta maziwa hayatoki hata tone.Hii inasababisha watoto wao kunyonya maziwa ya kopo. Kwa sasa nimeanza kuhisi kuna tatizo kwani nina wasiwasi kesi hizi zikawa nyingi,nikiamini nilizozisikia ni chache kati ya hizo nyingi.
Najua kuna wanasayansi humu,ebu tupeni sababu zinazoweza kusababisha mama kushindwa kutoa maziwa ya kumnyonyesha mwanae na nini kifanyike hali hii ikitokea.
Wakati mwingine ufikiri labda dada zetu hawataki kunyonyesha watoto, ni fikra tuu.