Wilbert1974
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 1,632
- 478
Tusaidiane hivi hii ingekuwaje hapo mjengoni?
Je ingeweza kusadia kupeleka maji huko Namanyere?
Na kwa nini waende hawa tu?
Hivi huyu aliyetaka kupeleka hawa akina mama kwa style hii ni wa chama gani vile?:israel:
Je ingeweza kusadia kupeleka maji huko Namanyere?
Na kwa nini waende hawa tu?
Hivi huyu aliyetaka kupeleka hawa akina mama kwa style hii ni wa chama gani vile?:israel: