MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Leo Umoja wa Wanawake wa CCM wamemfanyia sherehe kubwa Dr Asha-Rose Migiro kwa kurejea kwake nchini baada ya miaka yake 5 kama Naibu Katibu Mkuu wa UN, kazi ambayo wakina mama hayo wamesema aliifanya kwa weledi na kwa mafanikio makubwa.
Mafanikio makubwa? Hivi wanadhani hatujui kwamba Dr migiro alishindwa kupeform hiyo kazi na ndiyo maana ameng'olewa baada ya kipindi kimoja tu?
Mkuu hata mimi nimehuzunika mno mno akina mama kusifia ujinga na mambo ya aibu. Nimesubiri waseme Asha Rose Migiro ali achieve nini cha kumfanya atukuzwe namna hiyo. Ukisikia akina mama wanadharauliwa ni kwa mambo ya kijinga kama haya ya kumpokea kishujaa mtu aliyeshindwa kazi yaani LOOSER kama huyu. Tena Migiro alitakiwa asitokeze hadharani kwani ameidhalilisha Tanzania sana sijui huo udokta wake alishindwaje kuutumia.
Asha Rose Migiro ni TOTAL FAILURE hatakiwi akumbukwe popote katika historia muhimu ya nchi yetu kama SALIM AHMED SALIM