Wakina mama wa CCM -- giza mnaita mwanga?

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
233
Leo Umoja wa Wanawake wa CCM wamemfanyia sherehe kubwa Dr Asha-Rose Migiro kwa kurejea kwake nchini baada ya miaka yake 5 kama Naibu Katibu Mkuu wa UN, kazi ambayo wakina mama hayo wamesema aliifanya kwa weledi na kwa mafanikio makubwa.

Mafanikio makubwa? Hivi wanadhani hatujui kwamba Dr migiro alishindwa kupeform hiyo kazi na ndiyo maana ameng'olewa baada ya kipindi kimoja tu?
 
Aseeee babaangu kumbe unajuwa alishindwa kufanya kazi yake??? Ni watanzania wachache wanajua kuwa alishindwa kufanya kazi huko un embu waelemishe mkuuuu


ngoja niendeleee kupata mbege
 
Waache waendelee kujidanganya kuwa zama hizi ni za watu kudanganywa kama zamani zileee!
 
hajafikisha umri wa kustaafu , sema tu kasi ya bankmun ilikuwa juu kuliko ya kwake. alaf eti mtu dhaifu km huyu bado ana ndoto za kuwa raisi.
 
Wamama wa CCM huwa wanajifanyaga hamnazo......yaani nikiwaonaga huwa nahisi kichefuchefu......wanajidhalilishaga sana......kazi yao kubwa kulamba viatu vya wenzao wanao kula bata.....wenzao wanaishi maisha bora wao wanaishi bora maisha afu wanawasifia kweli......kwa kutoa matamko ya kijinga ndio wenyewe....


Utasikia "wakinamama tuungane kupinga mauaji yanayofanywa na CDM manake tunaoumia ni sisi na watoto".....mara CDM inataka kuleta vita tanzania .....hawanaga maneno yao, huwa wanalishwa maneno na wakubwa (akina Sophia Simba) na wenyewe wanayameza kama yalivyo,.......siwapendi hawa wamama !
 
Tanzania !!! Nini kimetuloga? Kwa nini kupoteza Muda na fedha kwa kughalamia mapokezi ya mtu aliyeshindwa kazi
 
jambo la msingi kama kweli akina mama wana mshikamano, wahoji mkataba wao wa jengo la morocco, ilipo airtel uko namna gani?je jengo hilo ni la uwt au la manji?mbona hakuna majibu rasmi, huku wanawapa ghiriba wenzao?pia katika jinsia tete yenye changamoto nyingi ni yao; ambapo sijaona msaada wa uwt bali kuwatumia kwenye kampeni za uchaguzi , uchaguzi ukiisha wanawatelekeza.Leo karibu 75% ya jinsia hii haina elimu rasmi ya kuwawezesha kuondokana na umaskini.Je uwt ipo kumsifia sha rose migiro huku akina mama vijijini wanateseka na sheria mbovu za kimila, huduma mbovu za kiafya, watoto wengi kupta mimba wakiwa shuleni huku hakuna mikakati ya kulikabili hili.Inatia huzuni kuona uwt ni mahala pa kupata akina mama wa kwenda bungeni huku wakitelekeza majukumu makubwa ya kusaidia umma mkubwa ambao unateseka vijijini hasa wanawake.
 
Mjane wa Mwangosi anachangiwa na wasamaria wema sasa hivi ili aweze kulisha watoto wanne thanks to Jeshi la polisi ya serikali ya ccm. Wanawake wa CCM jinsi walivyo katili wana ujasiri wa kuchezesha vitambi vyao huku wanawake wengine maskini wanajifungulia sakafuni.

Umoja wa wanawake ulikufa na wakina Bibi Titi, Lucy Lameck, sio hawa wa sasa wanaficha vitambi vyao kwenye magauni makubwa kama magunia!
 
Leo Umoja wa Wanawake wa CCM wamemfanyia sherehe kubwa Dr Asha-Rose Migiro kwa kurejea kwake nchini baada ya miaka yake 5 kama Naibu Katibu Mkuu wa UN, kazi ambayo wakina mama hayo wamesema aliifanya kwa weledi na kwa mafanikio makubwa.

Mafanikio makubwa? Hivi wanadhani hatujui kwamba Dr migiro alishindwa kupeform hiyo kazi na ndiyo maana ameng'olewa baada ya kipindi kimoja tu?

Jf kisima cha burudani.....mkuu tupia hayo maudhaifu yake yaliyosababisha kutorenew contract yake coz siyo wote wanaojua.
 
Mjane wa Mwangosi anachangiwa na wasamaria wema sasa hivi ili aweze kulisha watoto wanne thanks to Jeshi la polisi ya serikali ya ccm. Wanawake wa CCM jinsi walivyo katili wana ujasiri wa kuchezesha vitambi vyao huku wanawake wengine maskini wanajifungulia sakafuni.

Umoja wa wanawake ulikufa na wakina Bibi Titi, Lucy Lameck, sio hawa wa sasa wanaficha vitambi vyao kwenye magauni makubwa kama magunia!

Umenivunja mbavu mkuu -- kweli wanaficha vitambi. Halafu hawa wakina mama kwa n**** ndiyo wenyewe. Nimemuona mmoja Zakia Megji naye akijimwaya kucheza jukwaani -- anadhani tumesahau ufisadi wake wa kujaribu kufunika waziwazi kashfa ya EPA!

Si mzalendo hata kidoigo!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Afya ya Migiro mmeionaje wakuu?!! naona kama mama amedhoofu au?!!

Mkuu hilo nalo neno iwas to ask the same Qn.....hali imekuwa tete......sometime stress inaweza amount too.soon ukweli utakuwa hadharani.
 
Naomba tuweke sawa kumbukumbu,sherehe hiyo imeandaliwa na WAMA.

Nimesikitika sana kumbe wama ni chama cha wanawake wa CCM?

Wanawake watanzania,tuondokane na woga na kusimama imara,fedha hiyo iliyotumika inatafutwa kwa mgongo wa wanawake wote.
Naungana na wote wanaosema hakukuwa na sababu ya kutumia fedha yote hiyo kwa mtu aliyeshindwa kudeliver.
The trueth is ametuaibisha sana sana wanawake wa Tanzania,na kuwaaminisha wengi,wanawake wa Tanzania hatuwezi mpaka tuwezeshwe.
Haya yamedhihirisha wazi baada ya kushindwa kuuzika katika nafasi yoyote ndani ya Chama.

CCM MMETUGAWA VYAKUTOSHA.
laana hii itawagharimu.
 
Tuliambiwa ni zamu ya mwanamke kuwa Spika, wasijaribu kuja tena na ngonjera za jinsia 2015. Mtu agombee kutokana na merit na sio aina ya viungo vya mwili! fulll stop.
Na hilo ndo linawafanya wazidi kudharauliwa, eti achaguliwe kwakuwa ni "mwanamke?" ningefikiri kuwa mtu achaguliwe kwakuwa "anaweza na anafaa". Hatupaswi kumchagua mtu kwasababu ya jinsia yake na hatupaswi kutomchagua mtu kwasababu ya jinsia yake. Tunapaswa kumchagua mtu kwasababu "anao uwezo" LAKINI asiwe mwanaCCM tushachoka na ngojera zao hao!!!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Umenivunja mbavu mkuu -- kweli wanaficha vitambi. Halafu hawa wakina mama kwa n**** ndiyo wenyewe. Nimemuona mmoja Zakia Megji naye akijimwaya kucheza jukwaani -- anadhani tumesahau ufisadi wake wa kujaribu kufunika waziwazi kashfa ya EPA!

Si mzalendo hata kidoigo!!!!!

Na yuile aneyekula bila kunawa - a.k.a Anna Abdallah, alikuwapo? Si aliripotiwa akijilimbikizia mahela ya wakulima wa kosrosho kama per diem yake yeye na kijakazi wake?
 
Hii mimama inafata mkumbo na pesa ccm mama zangu majembe ya ukweli wanapigana kweli cyo haya mamama ya ccm shame on you
 
Back
Top Bottom