Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
hapana bossnakupa 100% lakini vp wewe ngozi hujaichakachua bado?
hapana bossnakupa 100% lakini vp wewe ngozi hujaichakachua bado?
wanafanya kwa raha zao ....
Sio wote wanapenda wanawake weupe, wengi tunazimikia weusi wa asili..Hadi wanamme mtakapothamini weusi wetu.
hakika, mtu kwa raha zake.........
nini bwana, duniani hapa fanya vile roho inapenda, mbaya kumsumbua mtu mwingine
Wanasumbua watu wengine kama mtoa mada...
Weupe wa kununua hauna mpango. Nalog offila kuna swali hawajiuliza
'kawa weupe ni mali kihivyo, ubuyu usingepakwa rangi'
ila kuna swali hawajiuliza
'kawa weupe ni mali kihivyo, ubuyu usingepakwa rangi'
mpaka lile kabila ambapo mahari ya mweupe ni mara kumi ya mweusi watakapoacha utaratibu huo
hawa dawa yao ni kutowanunua wala kuwatongoza na wakikuletea machunusi unawakataa mpaka wafe na minyege yao. Nalog off
Mi mke wangu nilimuoa akiwa na rangi ya maji ya kunde leo hii kawa mweupe peee! Shauri ya CAROLITO. Nimeamua nitafte kinyumba kidogo chenye rangi kama aliyokuwa nayo mke wangu kabla. Nilimkataza hakunielewa,
Hivi hii tabia ya wanawake ya kujikoboa ngozi zao na kuwa wekundu hawajui kama inawashushia heshima yao katika jamii? Yaani leo nimekutana nimekutana na mwanamke amejikoboa ngozi kuanzia usoni hadi kidole cha mguu ila cha kusikitisha badala ya kuwa mweupe amekuwa mwekundu , yaani hii inachefua sana