DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Nasikia kwa wakazi wa kanda ya ziwa na wenyeji wa maeneo hayo ya Mikoa ya Tabora ,Shinyanga na Mwanza unapokutana na wakina dada wa huko wao upenda kutumia msemo huu "Ng'wishage Tamu" msaada tunaomba wakina dada wenyeji na wakazi ama wanaotoka mikoa hiyo msaada wa msemo huo .
Manake ninasafari ya kwenda mikoa hiyo nikifika niwetayari tayari nikiambia nijue kinachojiri.
Msaaaaaaaaaada please
Nawasilisha wadau.
Manake ninasafari ya kwenda mikoa hiyo nikifika niwetayari tayari nikiambia nijue kinachojiri.
Msaaaaaaaaaada please
Nawasilisha wadau.