DASA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 1,031
- 301
Madada zetu wengi sana wanajichubua ili wapendwe, au kwa akili zao ili wawe wazuri zaidi. Lakini mbona weupe hawavutii kuliko weusi!!, madada weusi hasa wenye rangi ya chocolate jamani wanavutia, mdada mweusi/chocolate akipita kavaa kimini lazima udenda ukutoke kweli kweli lakini hao weupe hata akipita uchi mi naona bila bila.