Goheki
JF-Expert Member
- Aug 23, 2011
- 448
- 387
Wakimbizi wa Burundi walikamatwa nje ya kambi ya wakimbizi mkoani Kigoma,na kupelekwa mahakamani,kujibu tuhuma.Hakimu aliwanyima dhamana baada ya watumia kukana shitaka,cha ajabu mahabusu hayo wamekutwa hawapo gerezani,bali wamerudishwa kambi yao ya wakimbizi.Huu ni udhalilishaji wa sheria na mamlaka husika.
source Itv
source Itv