GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,006
Hongera sana Mwakilishi wetu Mheshimiwa HAMZA kati ya wawakilishi wa Wazanzibar uliomakini na uliojivuwa katika mstari wa walioikosea Jamhuri huko nyuma, tunakupa heko kwa kuliona hili na tumekuelewa na heshima kubwa kwako kwa kuona mbali ambapo sasa tunaliona lile wewe uliliona mapema! WAZANZIBAR TUSIKUBALI KUGAWIKA KATU, ZINDUKA MZANZIBAR Shttp://www.youtube.com/watch?v=ZrgAZYqtCtY&feature=youtu.beASA SIO HALAFU!