Nizzo
Member
- Nov 20, 2011
- 95
- 37
salaam,nahitaji kujua gharama za wakili katika kesi inakuwaje? Kuna mtu katufungulia kesi ya madai ya uharibifu bomba la maji lenye gharama la tsh laki tatu mali ya serikali ya kijiji,je nikitafuta wakili atahitaji kulipwa shing ngap? Na sheria inasemaje kuhusu hilo kosa? Msaada tafadhari!!