wakili

Nizzo

Member
Nov 20, 2011
95
37
salaam,nahitaji kujua gharama za wakili katika kesi inakuwaje? Kuna mtu katufungulia kesi ya madai ya uharibifu bomba la maji lenye gharama la tsh laki tatu mali ya serikali ya kijiji,je nikitafuta wakili atahitaji kulipwa shing ngap? Na sheria inasemaje kuhusu hilo kosa? Msaada tafadhari!!
 
Ni wapi kwanza maana kesi ya laki tatu inaweza kukugharimu fedha nyingi kwa wakili.
 
salaam,nahitaji kujua gharama za wakili katika kesi inakuwaje? Kuna mtu katufungulia kesi ya madai ya uharibifu bomba la maji lenye gharama la tsh laki tatu mali ya serikali ya kijiji,je nikitafuta wakili atahitaji kulipwa shing ngap? Na sheria inasemaje kuhusu hilo kosa? Msaada tafadhari!!
wakili kwa kesi ya laki tatu? haya bana ngoja wanasheria wanakuja.
 
Back
Top Bottom