<br />Huu mtindo wa kutoa taarifa wa KiJF unakera sana, sasa kama huna taarifa kwanini unatoa taarifa? Kuna mpuuzi mwingine anasema kero ya mafuta dar kumewaka, hala mwisho anasema aliye karibu atupashe habari. sijui za wapi hizo.
Ndio maana mimi niliacha siku nyingi kumvalue mtu kwa degree alizonazo, bali namvalue yeye mwenyewe personal kutokana na upstairs yake ikoje. Nawahakikishia kama mimi ningekuwa ni mtu wa Human Resource basi wasomi wengi wa Kitanzania wangekosa ajila kutokana na interview zangu.
Usitegemee kushinda kesi kama unawakilishwa na wakili wa aina hii. huyu akapate semina elekezi kwa Chenge na Nimrodi Mkono afundishwe how to keep very handsome money in ur account without facing investigation. Chenge anameet kuitwa msomi. ( hapa hoja sio kwamba ni fisadi au sio fisadi.)
Ndio matumizi madogo madogo ya zile millioni 20 alizokutwa nazo kwenye gari. huyu alikuwa anashinda kesi kwa kuhonga pesa na si vinginevyo.Anashinda kesi nyingi tuu. Mfano mzuri kasome Justine Nyari & others vs Republic (unrepported case)
<br />Ni kaka msomi.
Ndio maana mimi niliacha siku nyingi kumvalue mtu kwa degree alizonazo, bali namvalue yeye mwenyewe personal kutokana na upstairs yake ikoje. Nawahakikishia kama mimi ningekuwa ni mtu wa Human Resource basi wasomi wengi wa Kitanzania wangekosa ajila kutokana na interview zangu.
Usitegemee kushinda kesi kama unawakilishwa na wakili wa aina hii. huyu akapate semina elekezi kwa Chenge na Nimrodi Mkono afundishwe how to keep very handsome money in ur account without facing investigation. Chenge anameet kuitwa msomi. ( hapa hoja sio kwamba ni fisadi au sio fisadi.)
<br />Ni kaka msomi.
Shida yako Kiranga utanisumbuwa kila mara kutumia Google translate, ngoja nideal na thread ya Arusha kwanza huku nitarudi baadae.Saigon,
Ile kauli ya "vijisenti" nayo ni katika usomi huo huo ama ? Msomi ana-sound like some hood rapper ambaye hana kitu zaidi ya braggadocios ?
Tanzanians, not to mention Sukumas - I speak as one-, are characterized by a dignified humility, which includes fessing up when you are caught with your pants down. That statement, in the face of our common abject poverty, was obscene and non-intellectual on any level, to say the very least.
Pesa zote hizo ni za mteja wake? Kwa nini mteja wake aweke pesa zake kwenye akaunti ya huyo kaka msomi? Kuna harufu ya money laundering hapo.
Ndio matumizi madogo madogo ya zile millioni 20 alizokutwa nazo kwenye gari. huyu alikuwa anashinda kesi kwa kuhonga pesa na si vinginevyo.
<br />HAHAHA MA HATER BWANA, every one with his or her different story, JEALOUS PEOPLE NEVER WIN, HAPO WATU FLANI WANAFURAHI, NGA**, oo*** jealous people never win baab chongeni sana mwisho mtanyamaza tu na kelele za chura hazimzuii te mbo kunywa maji