Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Is it proved?
Is it proved?
Is it proved?
Nimekumbuka ulichoandika mkuu, inasikitisha lakini kuna hatma ya haya yote!Jamani its high time hawa wanasheria wetu wajue kwamba we are also Tanzanians and that most of the things happening in our country we know them. wasifikiri sisi tunaishi kwenye sayari ya Mars!
Huyo Stella is just a junior Officer who graduated from UDSM just in 2003 na alikuwa ni Legal Officer pale..labda kama amepandishwa na kuwa associate juzi juzi. So it doesnt ring kwamba a junior Legal Officer ambaye amepewa kazi juzi kwamba angekuwa Director (though kisheria its possible, but reality transcends the statements made).wa Deep Green....These guys should know that we are better informed than what they think.
Yes Ridhiwani can practice law like any other citizen. No doubt about that. What we contest however is to use his name and proximity to his father who happens to be the President of the Republic for scrupulous advantanges. They should stop. wasiibe resources zetu kwa kutumia mgongo wa siasa na majina yao. Thats what we object.
Reading that press release one can easily know...ni lugha ya mfa maji..these people have nothing to contest. Kama wanajiamni waende mahakamani. Ukweli ni kwamba IMMMA kama wako clean basi waende mahakamani waone kama hawajafungua pandora`s box! (though najua iko siku litafunguka!
Watanzania sio vichaa we know some of these dubious deals sema nyinyi mnafikiri kwamba wote ni akina Kalumanzira ambao hatujui kitu!
But I am dissapointed kuona vijana kama akina Masha ambao wamejitahidi kwenye shughuli zao wanajiingiza kwenye deal chafu chafu kama hizi...do they really need kuiiba wafanikiwe? Well sitaki kumhukumu Masha so far, but really his involvement (through his law firm) Leaves many questions unanswered.
Kuna Madai kuwa Mzee wa Kaya ametoa hata Majaji toka katika IMMA na kwenda mahakama kuu, sasa unategemea nini
Nchi hii imejaa watu wa ajabu sanaLeo hii IMMMA Advocates wanaonekana kuwa wasafi
Muulize Lissu Na chadema Na bavicha Na Kubeneahivi hiyo kesi iliishia wapi?
Leo hii IMMMA Advocates wanaonekana kuwa wasafi
Ulizaneni wenyewe huko UfipaNi wachafu?
MKUU SALAMAIMMA Advocates hiyo hiyo pia iliiwakilisha Tangold, kampuni iliyoirithi Meremeta. Hivi sasa serikali imepiga marufuku kujadiliwa kwa Meremeta kwa sababu eti ya Usalama wa taifa !!