Wakili Masha alinufaikaje na Deep Green Finance?

Jamani its high time hawa wanasheria wetu wajue kwamba we are also Tanzanians and that most of the things happening in our country we know them. wasifikiri sisi tunaishi kwenye sayari ya Mars!

Huyo Stella is just a junior Officer who graduated from UDSM just in 2003 na alikuwa ni Legal Officer pale..labda kama amepandishwa na kuwa associate juzi juzi. So it doesnt ring kwamba a junior Legal Officer ambaye amepewa kazi juzi kwamba angekuwa Director (though kisheria its possible, but reality transcends the statements made).wa Deep Green....These guys should know that we are better informed than what they think.

Yes Ridhiwani can practice law like any other citizen. No doubt about that. What we contest however is to use his name and proximity to his father who happens to be the President of the Republic for scrupulous advantanges. They should stop. wasiibe resources zetu kwa kutumia mgongo wa siasa na majina yao. Thats what we object.

Reading that press release one can easily know...ni lugha ya mfa maji..these people have nothing to contest. Kama wanajiamni waende mahakamani. Ukweli ni kwamba IMMMA kama wako clean basi waende mahakamani waone kama hawajafungua pandora`s box! (though najua iko siku litafunguka!

Watanzania sio vichaa we know some of these dubious deals sema nyinyi mnafikiri kwamba wote ni akina Kalumanzira ambao hatujui kitu!

But I am dissapointed kuona vijana kama akina Masha ambao wamejitahidi kwenye shughuli zao wanajiingiza kwenye deal chafu chafu kama hizi...do they really need kuiiba wafanikiwe? Well sitaki kumhukumu Masha so far, but really his involvement (through his law firm) Leaves many questions unanswered.
Nimekumbuka ulichoandika mkuu, inasikitisha lakini kuna hatma ya haya yote!
 
Kuna Madai kuwa Mzee wa Kaya ametoa hata Majaji toka katika IMMA na kwenda mahakama kuu, sasa unategemea nini

Mkuu Josh,

Si madai ni ukweli one of the senior partners wa IMMA aliteuliwa kuwa jaji wa mahakama kuu, hii sio siri hata kidogo!!!

Tiba
 
Duh kweli ni hatari tupu katika Tanzania, Kama kweli hawa wanafanya na kuibia Tanzania Mungu atawahukumu siku moja
 
mtoto wa nyoka ni nyoka....mlitegemea Ridhiwani afanye nini tofauti na mkulu??
 
Kuna mengi sana katika haya mambo tutaona mengi sana kuliko unavyoweza kudhani Mzee wangu Mm Mwanakijiji
 
Hivi kweli katika Nchi inayoata sheria Waziri mkubwa ametajwa katika tuhuma za wizi wa kampuni ya Deep green Finance,bado tu yupo madarakani,ile kutajwa tu na ni kweli kuwa alikuwa kwenye kampuni hiyo alitakiwa aachie ngazi au Rais amwajibishe.Jamani Tanzania tutafuata lini sheria katika Uongozi?
 
IMMA Advocates hiyo hiyo pia iliiwakilisha Tangold, kampuni iliyoirithi Meremeta. Hivi sasa serikali imepiga marufuku kujadiliwa kwa Meremeta kwa sababu eti ya Usalama wa taifa !!
 
Ingekuwa na Watu makini na Vyama makini na Utawala makini Masha muda mrefu angekuwa hana Uwaziri na amefungwa siku nyingi
 
IMMA Advocates hiyo hiyo pia iliiwakilisha Tangold, kampuni iliyoirithi Meremeta. Hivi sasa serikali imepiga marufuku kujadiliwa kwa Meremeta kwa sababu eti ya Usalama wa taifa !!
MKUU SALAMA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom