Wakili Masha alinufaikaje na Deep Green Finance?

Cha Msingi ni kwamba kama uchunguzi utafanywa inabidi masha ajiuzulu ili kupisha uchunguzi huru na wa haki.sasa ni kushikia bango uchunguzi
 
Hivi hakuna mwandishi mwenye uwezo wa kumhoji haya? Mwanakijiji hujawahi kuongea nae? Hili halina ubishi kuwa alikula but i would like to know kama anafahamu hii kampuni ya Kijani Kibichi. Kama anafahamu basi atupe maoni yake.

jamani mngesoma hata ukurasa wa mbele ndugu zangu.! majibu mbona yamo?
 
Mwanakijiji naona imefika wakati huna la maana la kufanya.... With all due respect, Mengi kakukatia ngapi?
 
Nitasoma jioni wakati napo na bilauri yangu ya ilala pale au nikiwa natoka kibaruani. Kaka hiki unatakiwa usome with maximum concentration. ila heading inaonyesha kuwa hakuna muafaka.

Hizi tuhuma si za leo wala jana. je, hajawahi kukutana nao? je waandishi huwa wanapewa TOR wakati wanazungumza na jk, pinda au waziri?

Najua kitendo cha kuwapeleka akina Yona kule bila kupelekwa wengine kama hawa ccm itakuwa kwisha habari yake.
 
tik tak tik tak - for wete you well the tyde abydeth no man. Were it not for the synonymy of time and tide in the early uses, one would inevitably be reminded of the most famous example of the tide not waiting for any man, the example of King Alfred sitting on the shore ordering the tide not to come in - Alfred wot well that the tide would not wait on him !!

- Tik tak tik tak kweli JF tumeingiliwa sasa where is our credibility masikini wa Mungu sisi, what is the agenda? Yaani na sisi tumeingia vita vya urasi wa CCM?

Mungu atupishilie mbali sana haya mabalaaa!
 
Kiongozi Mwanakijiji;

Huenda akawa ni mtu asiyependa kufuata utaratibu

Alikacha kupitia JKT

Aliingia UDSM kinyume na kigezo cha kupitia JKT

Unategemea nini? Tabia ya mtu haifichiki kwa muda mrefu.

Inapokuja suala la Opportunity na Maslahi ya taifa, chaguo liko wazi.

- Mkuu Allien nilifkiri you are for real, kumbe ni yale yale I am very dis-apponted! Mana kama ni tabia ya mtu kutofichika basi tutaibua wengi sana kuanzia humu JF! na hizi madas!

Ila kwenye hili ninaamini kuwa wakili wa Masha atasiamama mwenyewe kwa miguu yake na patakua patamu sana hapo na hii habari.
 
Duuh, mpaka 2010 tutasikia mengi; siku hizi hata mzee wa sauti ya UMEME amekuwa statesperson kumtetea waziri!!!!!!! kwi kwi kwi kwi...
 
- Mkuu Allien nilifkiri you are for real, kumbe ni yale yale I am very dis-apponted! Mana kama ni tabia ya mtu kutofichika basi tutaibua wengi sana kuanzia humu JF! na hizi madas!

Ila kwenye hili ninaamini kuwa wakili wa Masha atasiamama mwenyewe kwa miguu yake na patakua patamu sana hapo na hii habari.
Mkuu nimeamini Masha mshikaji wako....niliona tangu kule kwenye celebrity forum ulimvyotetea kuhusu kile kimada chake up to now......

Sauti ya umeme FMES nasikia ile mikataba mibovu ilisainiwa na kampuni ya mshikaji wako Masha.Hili unalizumziaje mkuu?
 
Mkuu Field Marshall ES... Kwanini Waziri Masha Unamtetea sana? Kwanini huwa unaumia sana data zake zikiwekwa wazi? just my curiosity mkuu... Gday!
Mkuu vita ya ufisadi ngumu.......unaweza kujikuta unapandikizwa bila kujijua yaani unakuwa PR wa mtu bila kutumwa bwa ha ha ha.......
 
Kiongozi Mwanakijiji;


Inapokuja suala la Opportunity na Maslahi ya taifa, chaguo liko wazi.

In addition, dis is typikal in ma kinda a country. SICK!

1: ….kuhusu wizi wa mabilioni kwa kutumia makampuni ya Meremeta,
Mwananchi Gold, Deep Green Finance na Tangold hatuna budi kujua kuwa wizi huu ulipangwa na kuendeshwa kwa umakini mkubwa lakini
pia umekuwa ni mtego mkubwa kwa serikali kwani baadhi ya watu
waliohusika au kunufaika kwa kiasi kikubwa wamo ndani ya serikali hiyo hiyo. Waziri Masha ni mshirika katika kampuni ya mawakili ya
IMMMA ambayo mawakili wake wengine wawili ndio walionekana
kama wakurugenzi katika kampuni ya Deep Green Finance.

2: …Lakini pia cha kushangaza na kushtua zaidi ni pale ambapo washirika wawili (patners) wa kampuni ya IMMMA mmoja anateuliwa
kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani (baadayeWaziri kamili) na mwingine anateuliwa kuwa Jaji licha ya wingu hili la wizi wa Benki
Kuu likiwa bado limeizunguka kampuni hiyo.

3: …Vile vile kilichoshtua zaidi ni taarifa iliyochapishwa na gazeti la MwanaHalisi kumtaja kuwa mtoto wa Rais Kikwete ni mshirika kwenye kampuni hiyo ya IMMMA. Habari hizo zilipotangaa hakuwa mwingine isipokuwa Waziri Masha aliyejitokeza na kumtetea Ridhiwan Kikwete
licha ya ukweli kwamba yeye (Masha) yuko likizo toka shughuli za
kampuni ya IMMMA! Maswali yaliulizwa wakati ule ni kwanini Masha azungumzie mambo ya kampuni binafsi badala ya kuacha watu wa IMMA
kujibu tuhuma dhidi yao isipokuwa ni kwa sababu ya madaraka aliyokuwa
nayo?

4: … je ni sababu zipi ziliwafanya wageni hao kuzitoa Benki kwa cash na walizipeleka wapi?)Uzito wa fedha zilizohamishwa tarehe 1Agust kwa fedha taslimu ni sawa natani 50 yaani uzito sawa na lori 5 za tani kumi
kumi). Je ni utaratibu fedha za umma kuchukuliwa kwa mtindo huo?

5: …Ni wazi kwamba kati ya mambo ya kutisha na makubwa zaidi na yenye utata ni suala la Meremeta, Mwananchi Gold, Deep Green Finance na Tangold. Ni wazi uchunguzi mkubwa zaidi na huru unahitajika kufanyika. Hata hivyo kutakuwa na ugumu mkubwa wa kuupata ukweli kwani baadhi ya watu ambao wanatakiwa kuhojiwa ndio walioshikilia nafasi ambazo zinahusika na uchunguzi huu. Kama suala moja la EPA limechukua miaka miwili kuweza kuanzisha kamatakamata na hatimaye watu kuanza kufikishwa mahakamani je masuala ya Meremeta, Deep Green Finance,Mwananchi Gold na Tangold yatachukuamuda gani? Na hapa hatujaleta masuala ya Bank M!
 
Waziri Masha ni mshirika katika kampuni ya mawakili ya
IMMMA ambayo mawakili wake wengine wawili ndio walionekana
kama wakurugenzi katika kampuni ya Deep Green Finance.

2: …Lakini pia cha kushangaza na kushtua zaidi ni pale ambapo washirika wawili (patners) wa kampuni ya IMMMA mmoja anateuliwa
kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani (baadayeWaziri kamili) na mwingine anateuliwa kuwa Jaji licha ya wingu hili la wizi wa Benki
Kuu likiwa bado limeizunguka kampuni hiyo.

3: …Vile vile kilichoshtua zaidi ni taarifa iliyochapishwa na gazeti la MwanaHalisi kumtaja kuwa mtoto wa Rais Kikwete ni mshirika kwenye kampuni hiyo ya IMMMA. Habari hizo zilipotangaa hakuwa mwingine isipokuwa Waziri Masha aliyejitokeza na kumtetea Ridhiwan Kikwete
licha ya ukweli kwamba yeye (Masha) yuko likizo toka shughuli za
kampuni ya IMMMA! Maswali yaliulizwa wakati ule ni kwanini Masha azungumzie mambo ya kampuni binafsi badala ya kuacha watu wa IMMA
kujibu tuhuma dhidi yao isipokuwa ni kwa sababu ya madaraka aliyokuwa
nayo?

Yaani mkuu ndio huwa simuelewi huyo mwenye data anaposimama kwenye forums tukufu kumtetea Waziri fisadi kama Masha....sielewi kabisaa yaani hapo ndio nakoma na dataz.
 
FMES,

Kwenye hoja ya Masha huko effective, kama uko effective basi ni katika kuji-expose na kum-expose Masha! Umepoteza kabisa objectivity, unatumia hoja ya nguvu! In this situation, speaking cannot do you any good - silence could have done you and Masha a better job!
 
Mkuu Allien nilifkiri you are for real, kumbe ni yale yale I am very dis-apponted! Mana kama ni tabia ya mtu kutofichika basi tutaibua wengi sana kuanzia humu JF! na hizi madas!

Ila kwenye hili ninaamini kuwa wakili wa Masha atasiamama mwenyewe kwa miguu yake na patakua patamu sana hapo na hii habari. [/SIZE]

Kiongozii FMSE, Heshima mbele Mkuu;

Ni vema tukajifunza uvumilivu hasa pale watu wanapoongea facts badala ya wewe kuwa dissapointed pale watu wanapohoji mambo ya kimsingi au wanataka kusema ya kweli.

Uliongea mengi sana kuwa wewe uko close naye na ukajenga mazingira halisi kuwa uko karibu sana na familia ile. Ukajibu hoja nyingi sana lakini ulipoulizwa katika hayo masuala mawili ukashindwa kujibu na kudai hutaongelea hilo. Kama hutaki kuwa dissapointed tuletee majibu ya mswali hayo kuwa alikwepaje JKT na aliingiaje UDSM bila kuwa na cheti cha JKT. I will be OK.

Kama kuna kiongozi yeyote unayemjua hata humu JF ambaye hapendi kufuata utaratibu na unamjua, jibu ni kumtaja na kumsaidia wapi alikosea na wala si kuwa na wasiwasi kuwa tutaibua mengi. Tumechoka sasa na haya mambo ambayo ndiyo yametufikisdha hapa tulipo miaka 47 baada ya uhuru ingawa tuna rasilimali zote za kuleta maendeleo. Inatia uchungu sana.

FMSE mimi ni moja kati ya watu wanaokuheshimu sana hasa kwa kuleta datas. Na nakuhakikishia kuwa post zako zote nimekuwa nikizisoma. Hunijui ni nani na wala mimi sikujui ni nani. Mhusika pia ni namfahamu kiasi japo inaweza kuwa si karibu sana kama wewe. Lakini inapokuja suala la ukweli na maslahi ya taifa, wengine sasa tumechoka na tumeamua kujitoa mhanga kwa ajili ya taifa hilia come what may. Just wait and see. Call a spade spade. Black balck and white white.

Katika uongozi historia na tabia ya mtu has something to do with the future. Hasa kama mhusika hataki kujisahihisha. Its is the history which shapes the future. Nina imani wahusika walikuwa wanajua ni nini kinaendelea katika suala la Deep Green hasa ukiangalia facts zote ambazo Dr. Slaa alizitoa bungeni.

Nakusihi na kukuomba kuwa, wakati huu ni wa kusimama pamoja na kuwa wakweli bila kujali kama mhusika mna uhusiano naye kivipi. Ni kwa kufanya hivyo mimi, wewe na wote tutalirekebisha taifa. Dawa ya jipu ni kulitumbua na kutoa usaha. Japo litauma lakini utapona. Sisi ni watu wazima, kubali kiungwana kuwa yatupasa tuwajibike.
 
- Mkuu Allien nilifkiri you are for real, kumbe ni yale yale I am very dis-apponted! Mana kama ni tabia ya mtu kutofichika basi tutaibua wengi sana kuanzia humu JF! na hizi madas!

Ila kwenye hili ninaamini kuwa wakili wa Masha atasiamama mwenyewe kwa miguu yake na patakua patamu sana hapo na hii habari.

Mzee wa Data vipi tena? Mbona unazikimbia data!? Au Data zako tu ndizo zinazostahili kuwekwa hapa!? Na za wengine ni bomu? Haya mambo ni kama mtego wa panya huingia waliokuwemo na wasikuwemo pia. Hivyo basi Masha anaweza kuwa muhusika kwa kujua undani wa sakata hili au aliingizwa bila kujua nini kinaendelea.
 
Mwanakijiji, heshima yako.
Nimesoma kijarida cha CHECHE toleo jipya 17. Nimekuelewa. Yote yanayozungumzwa hapa sasa ni kurudiarudia ulichokiandika. Hata hili swali ya mheshimwa kichwangumu hapa chini linajibiwa vizuri sana uk.1 na uk.2. Shukrani mzee.

Hivi hakuna mwandishi mwenye uwezo wa kumhoji haya? Mwanakijiji hujawahi kuongea nae? Hili halina ubishi kuwa alikula but i would like to know kama anafahamu hii kampuni ya Kijani Kibichi. Kama anafahamu basi atupe maoni yake.

Mpaka sasa sijapata hoja za kukupinga. Nami sina hoja kinyume chako. Wasiwasi wangu ni credibility ya Masha kudhaminiwa uwaziri. Taaluma yake ya sheria imeipoka utajiri nchi hii kupitia IMMA na Deep Green badala ya kuinufaisha nchi. Dhamana ya uwaziri aliyopewa ameitumia vibaya: Badala ya kuwalinda raia, yeye ameitumia dhamana hiyo kuwatishia raia kwa mtindo wa siku 7, kuwakejeli maalbino kiasi maalbino wenyewe wameshatoa tamko la kumtaka Masha ajiulu, na kuwafariji gerezani Keko mafisadi Mramba na Yona siku moja tu baada ya kutiwa rumande. Should we still trust this guy in this office?

Napenda nimwambie wazi mheshimiwa Rais kupitia JF, iwapo wapambe wake wamo humu, kuwa watu wa aina ya Masha katika serikali yake prove to be more of a liability than an asset. Urafiki, ushikaji na uanamtandao uliokwishafanywa unatosha sasa. We need a responsible government which is committed to her people, their security, their standard of living, their welfare, and their well-being. Mtu wako - Masha - hatufai, hatutakubali kodi zetu zitumike kutunyanyasa wenyewe achalia mbali kutuibia. This is a cry of the toothless, but the toothless has nothing to loose when he/she decides to crush your golden teeth bought using our own bloody sweat. Hatukutarajia mawaziri wa aina ya Masha 47 years after independence!
 
La hasha !!!!!!!!!!!!!l
hilo liko wazi kaka yangu!!!kama yeye nae alikuwa na share kwenye hiyo kampuni
laziima amekula hela ya epa na anaitajika kuwajibika akiwa kama kiongozi anaeongoza
usalama wa watanzania!!!ila uwezi jua labda alirudisha hii serikali ni ya matapeli awachelewi kukwambia zilisharudishwa[/QU


Mama Mia,

Wanavyopenda pesa kuliko hutu sidhani kama watakuwa wamerudisha! Nasema hivyo kulingana na matendo yao! si unajua tena 'who seeks equity must come with clean hands'. Wote wanajua kwamba 'umma' hauwezi kuwafanya chochote. Kuamini serikali ya kibongo ni sawa na usiku na mchana...tizama matendo yao...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom