I agree with you in toatal Jamaa amenichefua hata ham ya gazeti 'tanzania daima' ikanitoka asubuhui asubuhi!!!
but now im begging to belive tanzania daima wamemchomkea huyo jamaa atapike
Kwenye gazeti la Tanzania Daima la Jana Kibanda nae ameongea kitu kama hiki cha Fungamtama, amemponda sana Sitta kwa kumlaumu waziri Ngeleja juu ya uamuzi wa kuwalipa Dowans.
Alimponda sana Sitta kusema kwa nini Ngeleja awe na maamuzi hayo kabla ya kikao cha baraza la mawaziri. Kibanda anamlaumu Sitta kwa kutoa siri za kikao cha baraza la mawaziri na anawaita wajinga wote wanaomsikiliza Sitta.
To me Sitta is not perfect lakini pale anapopigania haki hasa katika swala hili la Dowans namuunga mkono, i was a bit disappointed with Kibanda's rhetoric towards mzee Sitta.
Ntapost hiyo article a bit later.