Wakenya wasimika bendera mlima Kilimanjaro

Kinachotusumua waTZ ni udhaifu wa akili...Yani vitu vidogo hua tunavi overlook just imagine watu wanavyochangia hii post as if wamefanya research yeyote inaonesha huo ni mlima KM...Mbona KENYA wana milima na watalii wengi wanapanda? Na afadhali alieweka post ya mTZ aliepanda mlima everest kwani nae alionesha bendera ya TZ...Mbona ata uku mikoani kuna sehemu watu wameweka bendera za US na apo ni Mareakani? Sasa watu wanaanza kumuhusisha rais JK mara ipo siku tutakuta ametuuza mara dhaifu Jamani uongozi sio kukurupuka, uongozi ni subira ebu tujaribu kua na akili timamu sometimez.....

..........aiseeh mie watu wamenikera kweli ! kweli kabisa kuna feature yeyote katika hizo picha kuwathibitishia huo ni mlima Kilimanjaro ? Humu kuna watu vichwa vyao wanafugia nywele tu, baaaas !:embarassed2:
 
Wabongo tuache kutoka mapovu kwa sababu zisizo na msingi kwanza kabisa hapo sio uhuru peak halafu hata kama pangekuwa uhuru peak Issue iko wapi? Inawezekana mpandaji aliamua kuiweka kwa muda tu kama appreciation ya nchi yake then akaitoa haiwezekaniki ikakaa muda mrefu kileleni hii nchi haipo dhaifu hivyo kama tunavyoifikiria
 
Mziki unaendelea, kama ni kweli basi majirani wameshaona Rais dhaifu, mara Malawi wanataka ziwa lao, kenya mlima wao K/manjaro, utasikia Uganda ziwa victoria lao, na Congo ziwa Tanganyika lao haya na zanzibar bahari ya hindi wanaitaka. Duuuu! hongera Mh Dhaifu na CDM watachukua Ikulu.
 
Mziki unaendelea, kama ni kweli basi majirani wameshaona Rais dhaifu, mara Malawi wanataka ziwa lao, kenya mlima wao K/manjaro, utasikia Uganda ziwa victoria lao, na Congo ziwa Tanganyika lao haya na zanzibar bahari ya hindi wanaitaka. Duuuu! hongera Mh Dhaifu na CDM watachukua Ikulu.

wewe wacha kichwa kufugia nywele, ungepitia post zote kisha ndo uropoke !
 
kilele cha mlima kenya picha inajieleza
jaribu kugoogle utaona picha nyingi zaidi wakati wa majira ya mvua kunakuwa na snow na huwa inayeyuka
hata kilele cha mawenzi huwa kinakuwa na snow pia lakini huyeyuka haidumu kama mlima kilimanjaro
Pt_Lenana_Mt_Kenya.JPG
 
mkuu mlima kenya nauona nikiwa moshi,hauna barafu na ni mfupi sana,kilimanjaro ndio mlima wenye barafu peke yake africa

Mlima Kenya hauonekani ukiwa Moshi acha kutudanganya hapa,unabishana na jiografia
 
naomba kujua wizara inayohusika na ulinzi wa mipaka yetu inafanya nini??halafu naomba kujua border kati ya tanzania na kenya ipo juu mlimani kilimanjaro?
View attachment 67877
Hawa jamaa ni baada ya kufika kileleni na kukuta bendera ya kenya
View attachment 67878
hapa wapo njiani kuelekea juu

Ni kawaida kule;watu wanakwenda with all sorts flags. Niliwaona watu kule na bendera ya Uingereza wanatoka nayo kileleni,nikawaambia,'' Kilimanjaro for the Queen'' and they burst out laughing. Nikawaulizza kama wanatoka London,wakasema wanatoka Ireland.
 
Watanzania (wanaoulilia mlima Kilimanjaro), niwaulize: Wamefaidika nini na uwepo wa mlima huo ndani ya mipaka ya nchi yao?
Wanaulilia ili wabaki kuutazama tu? Inaeleweka na kufahamika kwamba mlima Kilimanjaro uko kenya na kwa miaka nenda miaka rudi, wakenya ndiyo wanaofaidika na mlima ule.....acha watanzania waendelee kubishana na ukuta....
 
Mount Kenya is a stratovolcano created approximately 3 million years after the opening of the East African rift.Before glaciation, it was 7,000 m (23,000 ft) high. It was covered by an ice cap for thousands of years.Now not(
Yes una barafu

Mount Kenya is the highest mountain in Kenya and the second-highest in Africa, after Kilimanjaro. The highest peaks of the mountain are Batian (5,199 metres (17,057 ft)), Nelion (5,188 metres (17,021 ft)) and Point Lenana (4,985 metres (16,355 ft)). Mount Kenya is located in central Kenya, just south of the equator, around 150 kilometres (93 mi) north-northeast of the capital Nairobi. Mount Kenya is the source of the name of the Republic of Kenya.

300px-Mount_Kenya_Summit_photomap-en.svg.png
 
Wabongo tuache kutoka mapovu kwa sababu zisizo na msingi kwanza kabisa hapo sio uhuru peak halafu hata kama pangekuwa uhuru peak Issue iko wapi? Inawezekana mpandaji aliamua kuiweka kwa muda tu kama appreciation ya nchi yake then akaitoa haiwezekaniki ikakaa muda mrefu kileleni hii nchi haipo dhaifu hivyo kama tunavyoifikiria

waeleze hawa watu .yule mtanzania alioweka bendera mlima everest mwezi jana inamaana mlima umechukuliwa na tanzania ???
 
Maelezo yako mbona yananipa mashaka mengi?ni sehemu gani ya Moshi ukisimama unaweza kuuona mlima Kenya? Nina bahati ya kuishi katika sehemu mbili ilipo milima hii miwili (mt. Kenya na Kilimanjaro). Nimeishi katika mji unaitwa Nanyuki; just at foothill of Mt. Kenya na sasa naishi Majengo kwa Mtei-Moshi. Ukweli ni kwamba Mt. Kenya una barafu just like Kilimanjaro na pia hata kipofu atakataa kuwa unaweza kuuona mlima Kenya ukiwa Moshi.
hii kitu unaweza kuichukulia kirahisi lakini inazidi kutia mashaka na uelewa wetu tulio wengi.
Kumbuka Geografia inafundishwa tangia darasa la tatu na mtu anayeweza kuingia jf wengi wanadhani amemeliza walau STD VII - Form IV, sasa kama anaweza kueleza hivi, pambanua mwenyewe kuona ni kiasi gani tuna matatizo hasa ya uelewa ambacho ndio siraha katika dunia ya leo!

 
Back
Top Bottom