Hii ni aibu ya mwaka!nadhani tanzania tuna ngombe mbuzi wengi kuliko kenya kwa ajili ya ngozi.Cha ajabu wakenya wanakuja kutupa msaada wa viatu vya watoto wa shule wilayani mkinga tanga.na huku waziri wa elimu akichekelea
Tuna viwanda vya kuprocess leather vingi tu,tatizo wabongo hamuoni vya nyumbani,viatu vya ngozi vinazalishwa sana tu tena viwanda vyake vinakua,KARIBUNI-WOISO PRODUCTS.COM/HIMO TANNERS&PLANTERS.COM,Kwa bidhaa imara za ngozi ya hapa hapa Tzania,tupo,DAR,MBEYA,MOSHI,KIBAHA,ARUSHA na mawakala Dodoma,Morogoro,mwanza,zambia,zanzibar,tanga,rombo,songea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.