Wakenya ndani ya pccb na usalama wa taifa

Status
Not open for further replies.

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Feb 18, 2012
15,893
16,317
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na hatarishi kwa usalama na utendaji kazi wa taifa letu kumekuwapo na influx kubwa ya raia wa nchi jirani kama wafanyakazi katika moja ya taasisi nyeti na kubwa katika utendaji wa serikali ya jamuhuri ya muungano.

Pamoja na malalamiko yaliyoweza kuwasilishwa kwa vyombo husika vya usalama hatujaona hatua yoyote mathubuti ilochokuliwa mpaka sasa kwa kuwa raia hao wa kigeni bado tunao mpaka wakati huu katika ofisi zetu za serikali na wengi wao wamekuwa wakijitambulisha kwa ukabila wa maeneo yanayopakana na nchi zao.

Najua watu usalama mpo humu naomba mfuatilie hili suala. Asanteni sana.

********
UPDATE: Serikali inachukua hatua? - https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/335327-wafanyakazi-wageni-vihiyo-wasakwa.html
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na hatarishi kwa usalama na utendaji kazi wa taifa letu kumekuwapo na influx kubwa ya raia wa nchi jirani kama wafanyakazi katika moja ya taasisi nyeti na kubwa katika utendaji wa serikali ya jamuhuri ya muungano. Pamoja na malalamiko yaliyoweza kuwasilishwa kwa vyombo husika vya usalama hatujaona hatua yoyote mathubuti ilochokuliwa mpaka sasa kwa kuwa raia hao wa kigeni bado tunao mpaka wakati huu katika ofisi zetu za serikali na wengi wao wamekuwa wakijitambulisha kwa ukabila wa maeneo yanayopakana na nchi zao. Najua watu usalama mpo humu naomba mfuatilie hili suala. Asanteni sana.

wakenya au watu wa musoma? kwa mkuu
 
walishapenya siku nyingi,ccm hawawezi kuwatoa kwa sababu hawaoni hilo
 
Nilishangaa juzi mtu ananiletea Housegirl toka Malawi kwa elfu sabini!! Kweli tumefikia hatua ya ku-import housegirls????
 
Na inasemekana idadi kubwa ya vitambulisho vya utaifa vimetolewa kwa wageni (wakenya, waganda, wanyaruanda) na wazalendo si wengi...Hapoo sasa...............!:embarassed2:
 
Sasa mkuu inaonekana wazi uko ktk nafasi nzuri ungerahisisha kwa kuwataja majina ili ukweli uweze kujulina kwa haraka. Twakungoja uje na ufumbuzi kwa majina ili mambo yawe njema.
 
Na inasemekana idadi kubwa ya vitambulisho vya utaifa vimetolewa kwa wageni (wakenya, waganda, wanyaruanda) na wazalendo si wengi...Hapoo sasa...............!:embarassed2:

vitambulisho vya taifa gani?
Vya tz havijatolewa au unaongea ili kuchangamsha jukwaa?
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na hatarishi kwa usalama na utendaji kazi wa taifa letu kumekuwapo na influx kubwa ya raia wa nchi jirani kama wafanyakazi katika moja ya taasisi nyeti na kubwa katika utendaji wa serikali ya jamuhuri ya muungano. Pamoja na malalamiko yaliyoweza kuwasilishwa kwa vyombo husika vya usalama hatujaona hatua yoyote mathubuti ilochokuliwa mpaka sasa kwa kuwa raia hao wa kigeni bado tunao mpaka wakati huu katika ofisi zetu za serikali na wengi wao wamekuwa wakijitambulisha kwa ukabila wa maeneo yanayopakana na nchi zao. Najua watu usalama mpo humu naomba mfuatilie hili suala. Asanteni sana.

Makosa yalifanyika kipindi cha Nyuma,Kwa uongozi JK,sina uhakika kama kuna damu ya Kigeni kwenye Taasisi hzo Nyeti...
 
Mnashangaa wakenya kuwa katika idara nyeti? Wako mpaka watutsi. Na hao wabunge wahindi wanaojifanya ni watanzania hamuwaoni? Serikali ya kwanza ya Tanganyika baada ya kupata uhuru ilikuwa na waziri wa kidosi, kwa jina la Amir Jamal, hili hamkuliona mnashangaa haya ya jirani zetu wakenya?
 
Ziwa letu kweli lita salimika!Wamalawi hawapo uko mkuu???

kwa sasa mshauri mkuuwa rais juu ya ziwa hilo ni mnyasa, ni bwana APSON MWANGONDA aliyekuwa UWT chief....................... The drama goes on.
 
walishapenya siku nyingi,ccm hawawezi kuwatoa kwa sababu hawaoni hilo

ukitaka ikweli wa wageni hata NYERERE hakua raia kamili wa TZ..GR ..ULIMWENGU na wengi tu na ukienda MBEYA utakuta wengi tu cha muhim je ANAWAJIBIKA VIPI??katika kazi zake??HATA OBAMA kule AMERICA sio raia hizoakili hazitajenga inchi yetu bila wageni hakuna mabadiliko ya maisha DUNIANI KOTO ...kama hakuna madhala haina shida
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na hatarishi kwa usalama na utendaji kazi wa taifa letu kumekuwapo na influx kubwa ya raia wa nchi jirani kama wafanyakazi katika moja ya taasisi nyeti na kubwa katika utendaji wa serikali ya jamuhuri ya muungano. Pamoja na malalamiko yaliyoweza kuwasilishwa kwa vyombo husika vya usalama hatujaona hatua yoyote mathubuti ilochokuliwa mpaka sasa kwa kuwa raia hao wa kigeni bado tunao mpaka wakati huu katika ofisi zetu za serikali na wengi wao wamekuwa wakijitambulisha kwa ukabila wa maeneo yanayopakana na nchi zao. Najua watu usalama mpo humu naomba mfuatilie hili suala. Asanteni sana.

labor migration. hata wewe kama una sifa nenda kwao ukaombe kazi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom