Wenzetu kenya ni wabufu kweli kweli siyo comedy za kibongo wanaigiza mambo ya kipwani tuuu! Na kuigiza ziara na hotuba za viongozi wetu.
Wabongo hawavai uhalisia kabisa yani.
Nawapenda sana wakenya they are creative...even if they do copy and paste it doesn't matter,they never give up,they fear nothing and they regreat less.
Mimi nakumbuka mwaka 90 nilikuwa naangalia ile vitimbi, vioja mahakamani, kuna ile tamthilia ya kina Zoa (nimesahau jina, lakini wimbo wake ulikuwa unaanza chura anaulizia..."). Sasa bongo enzi hizo sifuri! Jamaa wametupiga gap...
You know what CHAPAKAZI....This guys always means business..wasanii wengi wa bongo wanapenda tu kuuza sura mara wanang'ata midomo,mara hair style kila kukicha wanasahau kuwa usani is what you deliver and not how you appear before the audience.