ulimwengu ushajaa wewe ndio maana wa jinsia moja wanaoana wao kwa wao,we unadhani mungu hana akili
Acha kutufanya wajinga! Kwani unafikiri ni wewe peke yako unayeishi ulimwenguni? Labda useme nyumbani kwako kumejaa! Usipende kutetea uovu kwa sababu wewe binafsi umeshindwa kutenda meme, siyo kweli bali watu wamependa zaidi ku-deal na shetani kuliko Mungu, ila nyakati zote Mungu atakuwa juu tu. Hatutakuwa mashoga wote wala wasagaji,kwa msingi wa mchango wako tuwe mashoga na wasagaji? Pole