Wakenya acheni kutumiwa, Ondoeni Majeshi Somalia!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Nchi ya Kenya inajihusisha na vita Somalia ambayo haiwahusu, hii ni proxy war yaani Wakenya wanapigana vita kwa niaba ya Wazungu na haina maslahi yoyote yale kwa nchi ya Kenya!

Acheni kutumiwa na Wazungu kwa maana gharama mnayolipa mpaka leo hii ni kubwa sana hivi juzi hapa ingawaje Serikali yenu haisemi ukweli lkn Wanajeshi walioliwa na Somalia wanafikia 100 sasa hii ni namba kubwa kwa lipi hasa?
Mnafaidika nini na Somalia zaidi tu ya kujenga uadui wa kudumu? Msisahau kwamba mna raia wengi sana wenye asili ya Somalia na wanafedha mpaka leo hii wanamiliki sehemu kubwa tu ya uchumi wa Kenya na hawa wote hawako upande wa Kenya kisiasa bali wa Somalia!

Hivyo narudia tena ondoeni Majeshi Somalia na muache kutumiwa na Wazungu, nimesikia Waziri Mkuu wa Uingereza anakuja Kenya ingawaje wengi mtadanganywa sababu ya safari yake lkn kilicho nyuma hasa ya hii safari ni kuishawishi Kenya iendelee kubakia Somalia na kupigana vita kwa ajili ya Uingereza, acheni hizo waambieni Wazungu waje wapigane vita yao wenyewe na siyo kuwatumia ninyi, hawa askari 100 waliokufa walipaswa wawe Wazungu na siyo Wakenya!
 
Nchi ya Kenya inajihusisha na vita Somalia ambayo haiwahusu, hii ni proxy war yaani Wakenya wanapigana vita kwa niaba ya Wazungu na haina maslahi yoyote yale kwa nchi ya Kenya!

Acheni kutumiwa na Wazungu kwa maana gharama mnayolipa mpaka leo hii ni kubwa sana hivi juzi hapa ingawaje Serikali yenu haisemi ukweli lkn Wanajeshi walioliwa na Somalia wanafikia 100 sasa hii ni namba kubwa kwa lipi hasa?
Mnafaidika nini na Somalia zaidi tu ya kujenga uadui wa kudumu? Msisahau kwamba mna raia wengi sana wenye asili ya Somalia na wanafedha mpaka leo hii wanamiliki sehemu kubwa tu ya uchumi wa Kenya na hawa wote hawako upande wa Kenya kisiasa bali wa Somalia!

Hivyo narudia tena ondoeni Majeshi Somalia na muache kutumiwa na Wazungu, nimesikia Waziri Mkuu wa Uingereza anakuja Kenya ingawaje wengi mtadanganywa sababu ya safari yake lkn kilicho nyuma hasa ya hii safari ni kuishawishi Kenya iendelee kubakia Somalia na kupigana vita kwa ajili ya Uingereza, acheni hizo waambieni Wazungu waje wapigane vita yao wenyewe na siyo kuwatumia ninyi, hawa askari 100 waliokufa walipaswa wawe Wazungu na siyo Wakenya!
Kama waki change PROXY Tanznia yaweza tumia hapo VIA zanzibar
 
Nchi ya Kenya inajihusisha na vita Somalia ambayo haiwahusu, hii ni proxy war yaani Wakenya wanapigana vita kwa niaba ya Wazungu na haina maslahi yoyote yale kwa nchi ya Kenya!

Acheni kutumiwa na Wazungu kwa maana gharama mnayolipa mpaka leo hii ni kubwa sana hivi juzi hapa ingawaje Serikali yenu haisemi ukweli lkn Wanajeshi walioliwa na Somalia wanafikia 100 sasa hii ni namba kubwa kwa lipi hasa?
Mnafaidika nini na Somalia zaidi tu ya kujenga uadui wa kudumu? Msisahau kwamba mna raia wengi sana wenye asili ya Somalia na wanafedha mpaka leo hii wanamiliki sehemu kubwa tu ya uchumi wa Kenya na hawa wote hawako upande wa Kenya kisiasa bali wa Somalia!

Hivyo narudia tena ondoeni Majeshi Somalia na muache kutumiwa na Wazungu, nimesikia Waziri Mkuu wa Uingereza anakuja Kenya ingawaje wengi mtadanganywa sababu ya safari yake lkn kilicho nyuma hasa ya hii safari ni kuishawishi Kenya iendelee kubakia Somalia na kupigana vita kwa ajili ya Uingereza, acheni hizo waambieni Wazungu waje wapigane vita yao wenyewe na siyo kuwatumia ninyi, hawa askari 100 waliokufa walipaswa wawe Wazungu na siyo Wakenya!
unapoanzisha hoja fanya utafiti kwanza usituletee stori za vijiwe vya sinza hapa JF. wengine tunatimam zetu eti!
ngoja nikupe hint.
- mabomu mombasa
- kutekwa kwa watalii pwani
- pirates bahari ya hindi
- mafuta (north eastern)
- lapset
 
Nchi ya Kenya inajihusisha na vita Somalia ambayo haiwahusu, hii ni proxy war yaani Wakenya wanapigana vita kwa niaba ya Wazungu na haina maslahi yoyote yale kwa nchi ya Kenya!

Acheni kutumiwa na Wazungu kwa maana gharama mnayolipa mpaka leo hii ni kubwa sana hivi juzi hapa ingawaje Serikali yenu haisemi ukweli lkn Wanajeshi walioliwa na Somalia wanafikia 100 sasa hii ni namba kubwa kwa lipi hasa?
Mnafaidika nini na Somalia zaidi tu ya kujenga uadui wa kudumu? Msisahau kwamba mna raia wengi sana wenye asili ya Somalia na wanafedha mpaka leo hii wanamiliki sehemu kubwa tu ya uchumi wa Kenya na hawa wote hawako upande wa Kenya kisiasa bali wa Somalia!

Hivyo narudia tena ondoeni Majeshi Somalia na muache kutumiwa na Wazungu, nimesikia Waziri Mkuu wa Uingereza anakuja Kenya ingawaje wengi mtadanganywa sababu ya safari yake lkn kilicho nyuma hasa ya hii safari ni kuishawishi Kenya iendelee kubakia Somalia na kupigana vita kwa ajili ya Uingereza, acheni hizo waambieni Wazungu waje wapigane vita yao wenyewe na siyo kuwatumia ninyi, hawa askari 100 waliokufa walipaswa wawe Wazungu na siyo Wakenya!
 
Kuna wakenya walionunuliwa na wanaofaidika na kila damu ya Mkenya inapomwagika ndiyo furaha kwao.

Nnaunga mkono hoja, nimeandika yanayofanana na hayo mara nyingi sana humu humu JF. Lakini kama wahenga wasemavyo "sikio la kufa halisikii dawa".
 
Nchi ya Kenya inajihusisha na vita Somalia ambayo haiwahusu, hii ni proxy war yaani Wakenya wanapigana vita kwa niaba ya Wazungu na haina maslahi yoyote yale kwa nchi ya Kenya!

Acheni kutumiwa na Wazungu kwa maana gharama mnayolipa mpaka leo hii ni kubwa sana hivi juzi hapa ingawaje Serikali yenu haisemi ukweli lkn Wanajeshi walioliwa na Somalia wanafikia 100 sasa hii ni namba kubwa kwa lipi hasa?
Mnafaidika nini na Somalia zaidi tu ya kujenga uadui wa kudumu? Msisahau kwamba mna raia wengi sana wenye asili ya Somalia na wanafedha mpaka leo hii wanamiliki sehemu kubwa tu ya uchumi wa Kenya na hawa wote hawako upande wa Kenya kisiasa bali wa Somalia!

Hivyo narudia tena ondoeni Majeshi Somalia na muache kutumiwa na Wazungu, nimesikia Waziri Mkuu wa Uingereza anakuja Kenya ingawaje wengi mtadanganywa sababu ya safari yake lkn kilicho nyuma hasa ya hii safari ni kuishawishi Kenya iendelee kubakia Somalia na kupigana vita kwa ajili ya Uingereza, acheni hizo waambieni Wazungu waje wapigane vita yao wenyewe na siyo kuwatumia ninyi, hawa askari 100 waliokufa walipaswa wawe Wazungu na siyo Wakenya!


Wewe ni mpuuzi, toa utaahira wako wa Lumumba hapa Pumbavu wewe, Kenya ni taifa huru lenye serikali yake kamili, huna unalolijua pusi wewe, nani kukudanganya kuwa kenya inatumika? unatia hasira Sana kujifanya Unajua mambo mengi wakati ni Zero brain, faizafoxy ni mwislamu mwenyewe itikadi Kali, ndo maana anasapoti topic yako ya kijuha, faizafoxy anawaunga mkono magaidi wote wa, Alqaeda, Boko Haram, ISIS, na alshababu, Kenya ilichokozwa, magaidi ya alshabab walikuwa wanavuka mpaka na kuingia Kenya na kuteka watalii pamoja na mauaji, sasa ulitaka kenya wakae kimya? wameamua kupigana kiume, unainuka mjinga Kama wewe unasema eti Kenya inatumiwa, siyo umekera Sana, unafikiria Kwa mat**ko Badala ya kichwa, shwaini kabisa, watu wakijihami eti wanatumiwa, funga bakuli lako, nenda ukale ugali wa bure Lumumba huna unalolijua wewe hapa, zero brain.
 
Wewe ni mpuuzi, toa utaahira wako wa Lumumba hapa Pumbavu wewe, Kenya ni taifa huru lenye serikali yake kamili, huna unalolijua pusi wewe, nani kukudanganya kuwa kenya inatumika? unatia hasira Sana kujifanya Unajua mambo mei wakati ni Zero brain, faizafoxy ni mwislamu hmwenyewe itikadi Kali, ndo maana anasapoti topic yako ya kijuha, faizafoxy anawaunga mkono magaidi wote wa, Alqaeda, Boko Haram, ISIS, na alshababu, Kenya ilichokozwa, magaidi ya alshabab walikuwa wanavuka mpaka na kuingia Kenya na kuteka watalii pamoja na mauaji, sasa ulitaka kenya wakae kimya? wameamua kupigana kiume, unainuka mjinga Kama wewe unasema eti Kenya inatumiwa, siyo umekera Sana, unafikiria Kwa mat**ko Badala ya kichwa, shwaini kabisa, watu wakijihami eti wanatumiwa, funga bakuli lako, nenda ukale ugali wa bure Lumumba huna unalolijua wewe hapa, zero brain.

Hapo ndipo ndugu umeseme ukweli kabisa hawa wote magaidi supporters.kina foxy geza na moto na pia hili jitu liloandika huu upuzi.
 
Wewe ni mpuuzi, toa utaahira wako wa Lumumba hapa Pumbavu wewe, Kenya ni taifa huru lenye serikali yake kamili, huna unalolijua pusi wewe, nani kukudanganya kuwa kenya inatumika? unatia hasira Sana kujifanya Unajua mambo mengi wakati ni Zero brain, faizafoxy ni mwislamu mwenyewe itikadi Kali, ndo maana anasapoti topic yako ya kijuha, faizafoxy anawaunga mkono magaidi wote wa, Alqaeda, Boko Haram, ISIS, na alshababu, Kenya ilichokozwa, magaidi ya alshabab walikuwa wanavuka mpaka na kuingia Kenya na kuteka watalii pamoja na mauaji, sasa ulitaka kenya wakae kimya? wameamua kupigana kiume, unainuka mjinga Kama wewe unasema eti Kenya inatumiwa, siyo umekera Sana, unafikiria Kwa mat**ko Badala ya kichwa, shwaini kabisa, watu wakijihami eti wanatumiwa, funga bakuli lako, nenda ukale ugali wa bure Lumumba huna unalolijua wewe hapa, zero brain.

Hapo ndipo ndugu umeseme ukweli kabisa hawa wote magaidi supporters.kina foxy geza na moto na pia hili jitu liloandika huu upuzi.

TUNAWAHURUMIA MSIENDELEE KUBONDWA
 
TUNAWAHURUMIA MSIENDELEE KUBONDWA
TUNAWAHURUMIA MSIENDELEE KUBONDWA
we mwehu nni..kwenye vita lazima casualties.wengine tulipoteza relatives hapa and dont think for a second we will let their deaths go in vain ata kama tutakufa sote kenya nzima.msikae mkaandika ujinga na hayajawapata so pliz nxt time you talk shit ...think first
 
we mwehu nni..kwenye vita lazima casualties.wengine tulipoteza relatives hapa and dont think for a second we will let their deaths go in vain ata kama tutakufa sote kenya nzima.msikae mkaandika ujinga na hayajawapata so pliz nxt time you talk shit ...think first
Safi kabisa kaka hawa majangili wanaona ugaidi ni kitu chaku shabikia.siku watapata kipigo ndio watajua vizuri.
 
Wewe ni mpuuzi, toa utaahira wako wa Lumumba hapa Pumbavu wewe, Kenya ni taifa huru lenye serikali yake kamili, huna unalolijua pusi wewe, nani kukudanganya kuwa kenya inatumika? unatia hasira Sana kujifanya Unajua mambo mengi wakati ni Zero brain, faizafoxy ni mwislamu mwenyewe itikadi Kali, ndo maana anasapoti topic yako ya kijuha, faizafoxy anawaunga mkono magaidi wote wa, Alqaeda, Boko Haram, ISIS, na alshababu, Kenya ilichokozwa, magaidi ya alshabab walikuwa wanavuka mpaka na kuingia Kenya na kuteka watalii pamoja na mauaji, sasa ulitaka kenya wakae kimya? wameamua kupigana kiume, unainuka mjinga Kama wewe unasema eti Kenya inatumiwa, siyo umekera Sana, unafikiria Kwa mat**ko Badala ya kichwa, shwaini kabisa, watu wakijihami eti wanatumiwa, funga bakuli lako, nenda ukale ugali wa bure Lumumba huna unalolijua wewe hapa, zero brain.


Wewe ndiyo zero brain namba moja, kwa akili yako unaamini kabisa mambo ya alshabab, kwa taarifa yako tu Al shabab, Boko haram, Isis , Al kaida yote ni CIA inside job, jielimishe tena na ndiyo maana USA wamkataa kuwawekea vikwazo Isisi na Alshabb kama kuwaondoa kwenye world financial system!
Na ndiyo narudia tena Kenya wanapigana proxy war na hii vita wala haiwahusu, na haina manufaa yoyote yale kwa nchi ya Kenya na wananchi wa nchi hiyo kwa ujumla isipokuwa hasara tu, hakuna kitu Wasomali wanataka Kenya, Wasomali wamekuwa sehemu ya nchi ya Kenya kwa miaka mingi sana na wamekuwa wakiishi pmj na Wakenya wengine ni kwa nini leo hii ndiyo chokochoko zianze???
 
we mwehu nni..kwenye vita lazima casualties.wengine tulipoteza relatives hapa and dont think for a second we will let their deaths go in vain ata kama tutakufa sote kenya nzima.msikae mkaandika ujinga na hayajawapata so pliz nxt time you talk shit ...think first
LAKINI CHA MOTO MNAKIONA KWA KUJITAKIA
 
Nchi ya Kenya inajihusisha na vita Somalia ambayo haiwahusu, hii ni proxy war yaani Wakenya wanapigana vita kwa niaba ya Wazungu na haina maslahi yoyote yale kwa nchi ya Kenya!

Acheni kutumiwa na Wazungu kwa maana gharama mnayolipa mpaka leo hii ni kubwa sana hivi juzi hapa ingawaje Serikali yenu haisemi ukweli lkn Wanajeshi walioliwa na Somalia wanafikia 100 sasa hii ni namba kubwa kwa lipi hasa?
Mnafaidika nini na Somalia zaidi tu ya kujenga uadui wa kudumu? Msisahau kwamba mna raia wengi sana wenye asili ya Somalia na wanafedha mpaka leo hii wanamiliki sehemu kubwa tu ya uchumi wa Kenya na hawa wote hawako upande wa Kenya kisiasa bali wa Somalia!

Hivyo narudia tena ondoeni Majeshi Somalia na muache kutumiwa na Wazungu, nimesikia Waziri Mkuu wa Uingereza anakuja Kenya ingawaje wengi mtadanganywa sababu ya safari yake lkn kilicho nyuma hasa ya hii safari ni kuishawishi Kenya iendelee kubakia Somalia na kupigana vita kwa ajili ya Uingereza, acheni hizo waambieni Wazungu waje wapigane vita yao wenyewe na siyo kuwatumia ninyi, hawa askari 100 waliokufa walipaswa wawe Wazungu na siyo Wakenya!

Ndugu yangu mimi ni Mtanzania. Ila katika hili naomba niseme "jali yako". Au kwa kikongo "Kipe yayo" Na kwa kizungu "Mind your business".

Kenya hawajaomba msaada wowote Tanzania kuhusu hiyo vita. Na wana sababu za msingi za kupigana hiyo vita. So as Tanzanians let us mind our business.
 
Ndugu yangu mimi ni Mtanzania. Ila katika hili naomba niseme "jali yako". Au kwa kikongo "Kipe yayo" Na kwa kizungu "Mind your business".

Kenya hawajaomba msaada wowote Tanzania kuhusu hiyo vita. Na wana sababu za msingi za kupigana hiyo vita. So as Tanzanians let us mind our business.


Nafikiri huwo ushauri ulipaswa ujipe wewe mwenyewe kwani nina uhuru wa kuandika ninachotaka na kama kiko kinyume na matakwa ya wadosi wa JF basi kitaondolewa, lkn siyo unipangie niandike nini!
 
Back
Top Bottom