Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
- Thread starter
- #41
Wako ki maslahi zaidi. Ushaona masikini ana kimada???
Wengi hilo hawalitambui, na huwa wanajua kutabiri kweli, wakihisi tu mafanikio yanakuja nao haooooo... wanaanza kujisogeza, usipokuwa makini kaka unaweza kuwa na vibanda hadi vitano, kulingana na uwezo wako wa ngawira, wengine wanafanya kuambiana........ " Bibie umeiona Meli ya Mafuta" ukisikia hivyo jua umekwisha...........