Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,257
- 1,247
- Je, inawezekana ukampenda mtu pasipo kumuona physicaly ila kwa kuongea tu kwenye simu hadi kutamani kuvunja amri ya sita?
- Mmeonana sasa for the first time, je mwanaume unaweza kuzama chumvini pasipo kufanya the tendo itself? na wewe mwanamke utakubali kufanyiwa hivyo na mtu ambaye umeonana nae for the first time?