wake kule visiwani wanaongoza kwa kudai talaka tatu!

Maana yake kuuliza ni kutaka kujua wanawake wanaoomba talaka kama ni wake wadogo nihamie zanzibar. nitakuwa nawabanjua wakiwa kwa waume zao ili kupunguza kasi ya kuomba talaka.
naamini wanaume walaku tupo kibao tunaweza kwenda kuishi kule kuokoa ndoa za wenzetu!

Una akili sana. Siku ukienda naomba lifti mimi baiskeli yangu mnyonyoro umekatika
 
tatizo la wanawake wa kiislamu ...
yupo ndani anatafuta mchumba...
akishapata mchumba...anadai talaka anaenda kuolewa zake...
mtu mmoja nguzo tano...loh AshaDii samahani my dia

smile jaribu kuandika kitu unachofaham ukiandika wanawake wa kiislam tayari umeshawatukanisha waliokuwemo na wasiokuwepo na dini ya kiislamu kwa ujumla.
-hakuna popote palipoandikwa mwanamke wa kiislam akiwa ndani ya ndoa atafute mchumba hayo ni matakwa ya mtu
binafsi hata wakristo, wapagan, wanafanya hivyo kutekeleza matakwa yao na sio dini ya KIISLAM na waislam.
-TALAKA hazitoliwi kama njungu kuna sheria zake kufuata misingi ya dini kiislam
-unaposema mtu 1 nguzo tano unamaniisha nini?mwanamke wa kiislam hawezi kuwa na wanaume wa tano na
mwanamume wa kiislam ameruhusiwa kuowa wake zaidi mmoja kwa sababu maalum na awe muadilifu na mchamungu.

 
mm ni born muslim .ila dini yangu ,inahimiza utuzwaji wa wanawake na heshima ya ndoa ,ila s unaajua binaadamu sisi tumeumbwa hatuwezi tukawa parfect ,

wahida..........kumbe hiyo dini yenu ni jina tu.............hakuna utekelezaji......................sasa kama utekelezaji ni noma si kheri ya wapagani ambao hawana dini kwa kujua utkelezaji ni shughuli?
 
Last edited by a moderator:
Ikiwa taarifa hii umeiwasilisha kama ilivyoandikwa, nahisi inajitosheleza wala haihitaji kutafuta mchawi wa pili. Taarifa inasema na kusisitiza..."wake wanadai talaka baada ya kuchoshwa na vitendo vya unyanywasaji, kutelekezwa na kudhalilishwa na waume zao.....ndoa zimeparanganyika sana kule visiwani kutokana na waume kushindwa kubeba majukumu yao....."
Sasa Ruta Mkuu, ikiwa mume ni mnyanyasaji, mtelekezaji, mdhalilishaji, anayeshindwa kubeba majukumu yake (kwa mujibu wa taarifa ya kadhi na kusisitizwa na maelezo yako), bado unahisi kuna haja ya kudai mke atakeleze majukumu yake? Tuseme hayo matendo ya mwanamme yanatokana na mwanamke kutotimiza wajibu wake?

Kama nlivyodokeza kule juu kuhusu haki na wajibu, hivi vitu vinakwenda sambamba kwa wakati mmoja, mwenye wajibu atekeleze kabla ya kudai haki, na kwa kadhia hii tunaona kuwa mwanamme ndiye kwa kupitia matendo kadhaa anakiuka wajibu wake. Bahati mbaya suala la ndoa linaangukia sana kwenye dini, utamaduni na mfumo ambapo yote matatu kwa bahati mbaya mwanamke/mke anakuwa "raia wa pili", wa kwanza akiwa mwanamme/mume.

MAMMAMIA..yaelekea hili sualaumelifanyia kazi ya kina sana..................honngera sana
 
Last edited by a moderator:
lizzy jaribu kuandika kitu unachofaham ukiandika wanawake wa kiislam tayari umeshawatukanisha waliokuwemo na wasiokuwepo na dini ya kiislamu kwa ujumla.
-hakuna popote palipoandikwa mwanamke wa kiislam akiwa ndani ya ndoa atafute mchumba hayo ni matakwa ya mtu
binafsi hata wakristo, wapagan, wanafanya hivyo kutekeleza matakwa yao na sio dini ya KIISLAM na waislam.
-TALAKA hazitoliwi kama njungu kuna sheria zake kufuata misingi ya dini kiislam
-unaposema mtu 1 nguzo tano unamaniisha nini?mwanamke wa kiislam hawezi kuwa na wanaume wa tano na
mwanamume wa kiislam ameruhusiwa kuowa wake zaidi mmoja kwa sababu maalum na awe muadilifu na mchamungu.

ummu kulthum......unauhakika huyo ni Lizzy kweli siyo [MENTION]smile [/MENTION]aliyeandika huo uzi?
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wengi wa Kiislamu wameanza kuelimika siku hizi wanajua haki zao. Talaka tatu maana yake usithubutu kurudi na kusema turudiane. Talaka moja bado anakuwa mke halali lakini talaka tatu ni TUSIJUANE. Penzi haligawanyiki ndani ya nyumba wanawake watatu huko ni kudanganyana anayefaidi ni mwanaume na si wanawake.
 
Labda kwa vile waume zao wanaruhusiwa kuwa na wake wengh wanashindwa kuhudumia pande nyingine!

Shine hiyo ni sababu moja lakini kubwa taasisi ya ndoa ipo mashakani watu wandai uhuru zaidi wa kujamiaana..........na hapo ndipo ugumu ulipo zaidi kama ni ugumu wa maisha penye upendo wataunganisha nguvu na kukabili khali iliyopo lakini pasipo na upendo kila kero hukuzwa na hata baadaye kuleta mipasuko isiyozibika....
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wengi wa Kiislamu wameanza kuelimika siku hizi wanajua haki zao. Talaka tatu maana yake usithubutu kurudi na kusema turudiane. Talaka moja bado anakuwa mke halali lakini talaka tatu ni TUSIJUANE. Penzi haligawanyiki ndani ya nyumba wanawake watatu huko ni kudanganyana anayefaidi ni mwanaume na si wanawake.

Pakawa..........hivi nikujanjaruka au ni matokeo ya mparanganyiko wa taasisi ya ndoa? penzi limekuwa adimu na chuki kututawala na haya ndiyo matokeo yake....................
 
Mkuu mbona magonjwa yamesha expire siku nyingi? hakuna ugonjwa tena unatembea peku kama huna kichwa vile!
Idadi yao si sababu kwa sababu timu ya walaku ni kubwa. hapa nawakilisha tu!

Mungi maisha yako yanathamani kubwa ni mpaka utakapoanza kuumwa ndipo utaelewa ninamaanisha nini..........................majuto huwa ni mjukuu na mwishowe huja kinyume yake
 
Last edited by a moderator:
Kwa mujibu wa dini ya kiislam talaka ni jambo linalomuudhi sana Mwenyezi Mungu japo ameliruhusu..ila wengine hawalizingatii hilo..ila kwa upande mwingine ndoa inaposindikana kabisa talaka is the last resolution..
 
samahani sana kwa kutia neno dini ktk hii topic ,ila ukisema dini yangu bora upagani naona uko wrong, no more information bcz hujui zaid kuhusu dini yangu,,
 
na chochote kinachotokea ktk uhusiano basi kuna reason ,kuachana huko watu wanasababu ,na kila sehemu na utamaduni wake ,, nadhani hivyo
 
na sio ivyo munavyo dhani kuwa talaka zinatolewa tu ovyo, kwa mujibu wa dili ya uislamu kuna sheria zake na sababu , mm naona hii topic ingekuwa basi ,, bcz sio fair ,mambo mengine , samahanini wakuu
 
SI Zanzibar pekee. Nshasikia mama anamsifia mwenzie alivyo na bahati nilihudhuria harusi fulani hapa Dar; Mwenyewe anasema yaani huyu hiki chuo cha tano! Kwa maana nyingine ni marketable.

Mwanamke wa Zanzibar huheshimika zaidi kwa idadi ya 'vyuo' alivyonavyo
 
unauhakika huyo ni lizzy kweli siyo smile aliyeandika huo uz?

rutashubanyuma asante nisharekebisha kwa maana IMANI ya mtu ni kitu ingine kabisaaa,samahani lizzy mlegwa ni smile
 
Mkuu Rutashubanyuma.
Jaribu kufanya na utafiti kwenye makanisa wahoji Maskofu na Wachungaji pamoja na Wazee wa Kanisa kuhusu kuomba taraka kesi ni nyingi mno bahati mbaya Wakiristo wana ndoa mmoja mwisho wa siku inaishia mwanaume na mwanamke wanaishi nyumba mmoja lakini kila mtu analala chumba chake... Kwa picha ya nje wanaoneka wana ndoa lakini ndani wameishapeana taraka tatu.
 
Last edited by a moderator:
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom