BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
hatuwezi sana kuhoji maana maisha ya ndoa ni siri ya watu wawili loh
Ni sawa sawa na kule kanda za KASKAZINI, mtu anaoa mpaka wake 10 kazi yenyewe ni KULIMA NA KUFUGA, tofauti ipo wapi?
watakuwa wanajua wanachokikimbia,huwezi nifanya niamini wanaume wao ni washika dini kiasi kwamba wanawake wawakimbie.
kama wanawake wa visiwani kutwa wapo ndani kwanini wawakimbie waume zao?
Wanaume wa zanzibar wengi wao wavivu sana..ndio maana wanataka hata kijitenga ili waje watawaliwe tena wawe wanapata kila kitu bure...wanawake ndio wanajishughulisha mara kwa mara....
Sasa mwanaume hutimizi majukumu yako bado unaleta kisauti...bora mtu ajiombee talaka yake..ni haki yao wacha waitumie.
kanda ya kaskazini hawana hii culture-fanya utafiti utaona-ni nani mwenye muda wa kuwa hata na wake 2?wakati mtaan kuna services za kutosha-kaskazini si pemba bwanaNi sawa sawa na kule kanda za KASKAZINI, mtu anaoa mpaka wake 10 kazi yenyewe ni KULIMA NA KUFUGA, tofauti ipo wapi?
mm n miongoni mwa wazanzibar ila nahisi pengine mungekuja mukafanaya research licha ya kujisemea musio yajua ...
Rutashubanyuma, kwa kuwa dokta Batilda Buriani alitwangwa talaka tatu, katika uchunguzi wako hujabaini kama aliomba hiyo talakaa au alishitukizwa zote tatu kwa mpigo?
kanda ya kaskazini hawana hii culture-fanya utafiti utaona-ni nani mwenye muda wa kuwa hata na wake 2?wakati mtaan kuna services za kutosha-kaskazini si pemba bwana
hatuwezi sana kuhoji maana maisha ya ndoa ni siri ya watu wawili loh
Yaani kweli wanawake wa Zenj hawana shukrani !!!! Huko si ndio nasikia kuwa mwanamke kazi yake kukaa ndani tu na kujichora na hina; mwanaume aleta kila kitu ikiwa ni pamoja na kwanda marikiti ?
Bwana Ruta kwa nini unashangaa ?
kule unakuta mtu ana wake 3,kazi anayofanya ni kuvua samaki-at local and primitive way,hawezi kukidhi mahitaji ya familia,na anatumia sheria za dini kuforce submission kutoka kwa wake zake-regardless huyo mr yupo right or wrong-
so kwa wanawake wasiopenda kuonewa,lazima wakimbie kwa mtu kama huyu wakajilimie mwani
[MENTION]Binafsi sipendelei sana NDoa za Mkeka, japo mimi Ni Muislamu, lakini watoto wa siku hizi wamezidi kufanya mambo yasiyofaa, mzazi anaona labda akimfanya vile huenda Binti atatulia, na pia ni katika kuondoa DHIMMA ya Mzazi kuepusha Zinaa. mkumbuke kuwa Zanzibar ni nchi ambayo wakaazi wake ni 95% waislamu na ni wazazi ambao wanaishi kwa misingi ya Dini yao! hivo wanaepusha Zinaa. tatizo kubwa linakuja kwa watoto wa kiume nia yao nadhani ni kufanya Zinaa akimshamchezea Binti akimbie. sasa Mzazi hakubali hili anaona bora amuozeshe! anaepuka Zinaa na pia huenda binti akatulia.
mtotowamjini............chini ya talaka tatu wanaweza kurudiana lakini zikifika tatu kamwe hawawezi kurudiana..........yaani yamewafika khapo..........
Binafsi sipendelei sana NDoa za Mkeka, japo mimi Ni Muislamu, lakini watoto wa siku hizi wamezidi kufanya mambo yasiyofaa, mzazi anaona labda akimfanya vile huenda Binti atatulia, na pia ni katika kuondoa DHIMMA ya Mzazi kuepusha Zinaa. mkumbuke kuwa Zanzibar ni nchi ambayo wakaazi wake ni 95% waislamu na ni wazazi ambao wanaishi kwa misingi ya Dini yao! hivo wanaepusha Zinaa. tatizo kubwa linakuja kwa watoto wa kiume nia yao nadhani ni kufanya Zinaa akimshamchezea Binti akimbie. sasa Mzazi hakubali hili anaona bora amuozeshe! anaepuka Zinaa na pia huenda binti akatulia.
Tungependa kujua mwanamke anayeomba talaka ni mke mkubwa, kati au wa tatu!
Edward Teller tatizo ni idadi ya wake au wanaumme wengi hawana shughuli yakufanya na hivyo kushindwa kubeba majukumu yao ndani ya familia zao?