Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Haya tena kwa wale wakazi wa Samunge huu ndio wakati wa kujinafasi Airtel has launched a site in your area! piga sh 1 kwasaa 24 kwa wale wakazi wa Loliondo hakuna tena shida ya mawasiliano ni kutwanga tu! unaweza hata kuongea na Babu! hizi ni habari safi keep it up Airtel.