Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
habari nilizozipata kutoka kwenye chanzo cha uhakika Mkuu alitembelea Madale siku ya ijumaa kabla ya safari na kuwaeleza wakazi wa madale Ujenzi ruksa kuendelea na ujenzi, na waliobomolewa walipwe.