Wakazi wa Ilala kota watimuliwa kama mbwa; damu yaweza kumwagika

nafikiri kuna mchangiaji moja kaeleza hapo mtu akikaa kupita miaka kadha basi sheria ina mpa haki ya kwanza kununua nyumba hiyo ikiwa nyumba hiyo ina uzwa, pili uingereza wana sheria ambayo inawapa haki squaters kuingia na kuishi kwenye nyumba ambayo mwenyewe hayupo au ana nyumba nyingi na hiyo alio kupangisha ni ya ziada au za ziada, na pia ukiwa mpangaji wa muda mrefu, halafu ukawa una shindwa kulipa mahakama itaangalia haki zako , na pia ujerumani kuna mthungu moja ana nyumba kadhaa ambazo hapati kodi kwani squaters wamw vamia nyumba zake na kuwatoa ni issue, na ndio maana nhc kwa kuwatia ujinga wamejaribu kuwapa hiyo tshs laki tatu kupoza mambo, lakini ikiwa nhc wanataka kufanya haki, kwenye hizo nyumba mipya si watatoa nyingi, yaani maflat, ya chumba kimoja, viwili, vitatu nk nk hivyo kwa hesabu rahsi kwenye nyumba 100 watatoa 300 kwanini hizo 100 wasiwape wapangaji wa zamani na hizo mpya 200 wapangaji wapya?
August, ni kweli kwa UK haki hiyo ipo, ila inatumika kwenye abandoned houses, Waingereza ni very superstitious, kuna baadhi ya majumba, anapofariki mwenye nyumba, wanadai ghost lake hutokea na kusumbua, hivyo nyumba hizo huziita haunted houses, wenyewe huzikimbia na kuzitelekeza for good. Sasa akitokea mtu mwenye kuweza kuishi kwenye hauted houses hizo, au nyumba nyingine yoyote iliyotelekezwa, serikali inakutambua wewe kama tenant na sio vendor, yaani unatambulika kama mtumizi halali wa hiyo nyumba lakini sio mmiliki, na sheria inakulinda kuwa mmiliki akijitokeza, hawezi kukutimua kama mbwa, bali mtakubaliana kiwango cha kodi kwa mujibu wa uwezo wako na hivyo unakuwa mpangaji halali, ila sio mmiliki, ukimaanisha huna uwezo wa any deed ya transfer zaidi ya kufanya ukarabati, ukifa nyumba inakuwa chini ya housing trust kama Waislamu wanaifanya ni nyumba ya wakfu.
 
msiwatetee hawa watu wamejifanya kama wahindi hawataki kujenga na wanaaribu mazingira sana angalia vijumba vya pale magome vinaaribu sura ya jiji, wasuziwe kwani wakiuziwa nao wanauza, sasa itungwe sheria ya mwisho wa pango la kulAla liwe miaka miwili tu
 
Mkuu angalizo kwanza, zile nyumba si za NHC ni za halmashauri ya jiji. Nakumbuka kabla ya mradi huo kuanza wakazi wale walihakikishiwa kupewa priority katika upangaji wa mijengo hiyo mipya (something unrealistic) lakini kulikuwa na modality ya ni namna gani wakazi wale wangekuwa accomodated. Sasa inashangaza kusikia kwamba wamefukuzwa. Lakini hii haiwezi kutokea bila baraka za wakuu wa jiji. Zungu inabidi akomae nao hao lakini pia wananchi wakomae na huyu Masaburi. Nadhani ameamua kufanya safisha safisha, UDA sasa Ilala kota.

Hujui unachosema. Unadhani zoezi hilo ni la Masaburi?. Ni la Mama akishirikiana na kijana wake Mchechu. Tunataka baada ya miaka 4 tu Dar yote iwe na nyumba bora na mitaa,viwanja vya wazi na bustani vionekane. Chezea mhaya na mkinga weee....
 
nafikiri hakuna anaye pinga sehemu hiyo kuendelezwa, kinacho gomba ni modalities, za kuangalia maslashi ya pande zote wapangaji wa zamani ambao wame kaa hapo muda mrefu na haki za jamii kwa jumla (yaani sehemu hiyo iendelezwe) na miliki au mjenzi wa kupata hela zaidi baada ya kubomoa hivyo vijumba na kujenga maghorofa, sasa katika kutekeleza hilo kuna hatua za muda mfupi na za muda mrefu, muda mfupi ni hao wapangaji ambao sio kwamba ameshindwa kulipa kodi, la hasha bali nyumba zinatakiwa kubomolewa kupisha ujenzi wa maghorofa, pili ni haki za hao wapangaji baada ya maghorofa hayo kujengwa sasa hapa ndio ile formula ya win win situation inakuja, nhc wapate na hao wapangaji walio kaa na kuongeza thamani ya sehemu hiyo nao wapate, wakipewa chumba kimoja sawa mwenye kuweza vyumba viwili rukhsa, nk nk, na kama hawatoweza kabisa, sasa katika hiyo super profit atakayo tengeneza nhc, basi kidogo awa dondoshe hao wapangaji , ndio gharama za biashara hizo sio upande moja kupata tu.
mfano nhc wanaweza kuamua kujenga nje ya mji hatu chumba kimoja kimoja kama zilivyo hizo nyumba hapo ilala na kuwa waambia makazi mbadala yenu haya hapa, na nyumba hiyo ni permanent yako, ama sivyo tupishe tujenge tukimaliza kodi yetu ni laki kadha sasa chagua bega lipi zuri, la kujengewe nyumba/chumba yako nje ya mji au kusubiri hizo mya na kulipa malaki/mamilioni kadha.
na hata kwa wenzetu wenye kufuata ubepari huwa wanapo fanya maendeleo/ujenzi hutoa nyumba za kada mbali mbali, matajiri, wa-kati, na wachini hata kama mitaa itatofautiana au kuna kuwa na excutive house, middle cadre na bachelors quater etc etc
 
nyumba hizo zimejengwa toka mwaka 1951, awali zikimilikiwa na NHC, Jiji na sasa Manispaa ya Ilala

wabia wa mradi ni watatu:Manispaa ya Ilala, NSSF na kampuni ya nje

serikali kuu, diwani, mbunge na wananchi wanashirikishwa katika mchakato kama ilivyo kwa wapangaji wa Magomeni

tangu mwaka 2001 Manispaa ya Ilala iliacha kuwatoza kodi kwani ni nyumba kuu kuu zisizofaa kwa matumizi ya kuishi, hivyo kisheria Manispaa ya Ilala ilikwepa mkono wa sheria endapo ukuta utamdondokea mpangaji wake kuonekana mwenye nyumba hafanyi ukarabati wakati anapokea kodi ya pango na hivyo kuingia kwenye mzigo wa kulipa fidia
 
nyumba hizo zimejengwa toka mwaka 1951, awali zikimilikiwa na NHC, Jiji na sasa Manispaa ya Ilala

wabia wa mradi ni watatu:Manispaa ya Ilala, NSSF na kampuni ya nje

serikali kuu, diwani, mbunge na wananchi wanashirikishwa katika mchakato kama ilivyo kwa wapangaji wa Magomeni

tangu mwaka 2001 Manispaa ya Ilala iliacha kuwatoza kodi kwani ni nyumba kuu kuu zisizofaa kwa matumizi ya kuishi, hivyo kisheria Manispaa ya Ilala ilikwepa mkono wa sheria endapo ukuta utamdondokea mpangaji wake kuonekana mwenye nyumba hafanyi ukarabati wakati anapokea kodi ya pango na hivyo kuingia kwenye mzigo wa kulipa fidia

wamekolea na hiyo bure wanataka iwe milele kuna watu wana weza kuishi kwenye kichuu na kufukuza mchwa mvua ikiwapiga na mafuliko wanakimbilia kulilia serikali, ila kwa ili serikali ilifanya makosa walitakiwa kuondolewa sio kuhachwa waishi bure huo sio utu ni kinyume na kanuni za kiutendaji ku manipulate vitu ili kukwepa ghalama hata kama maisha yako hatarini
 
Aaaaggghhh! Yaani mi inanikeraga sana jinsi Watanzania tunavyopenda kubebwa!! Hivi mnajua watu wangapi tunaohangaika na kodi kubwa zinazopanda kila kukicha, halafu nyie mmepata nafasi ya kukaa kwenye nyumba za NHC kwa miaka 40!! bado mnalalamika kuondolewa (kwa kulipwa!) ili kupisha ujenzi utakaosaidia watu wengi zaidi! Kwani sisi wengine huku mtaani tunavyohamishwa na wenye nyumba,tunalipwa!!?
Kweli akili ni nywele! Hebu waacheni hawa watu watujengee hayo maghorofa ili na sisi wengine tupate makazi bora, eboo!!
 
Ndugu yng hebu fikilia kama eneo hilo wangekuwepo wazazi wako wanaishi au ndugu zako sijui kama ungekuwa hata na nguvu kusema hivyo anyway roho zinauma
msiwatetee hawa watu wamejifanya kama wahindi hawataki kujenga na wanaaribu mazingira sana angalia vijumba vya pale magome vinaaribu sura ya jiji, wasuziwe kwani wakiuziwa nao wanauza, sasa itungwe sheria ya mwisho wa pango la kulAla liwe miaka miwili tu
 
Ndugu yng hebu fikilia kama eneo hilo wangekuwepo wazazi wako wanaishi au ndugu zako sijui kama ungekuwa hata na nguvu kusema hivyo anyway roho zinauma

Mkuu swara hapa sio kuishi ndugu,tuangalie na uhalisia,unataka kusema nyumba zisijengwe pale milele,haiwezekani mi nafikili waache wakatafute nyumba za kipanga wakati maghorofa yakijengwa na wao wajipange kuja kukaa kwa kulipa kodi
 
Tuanze kufikiria tofauti. Enzi za kulelewa na kupewa yote tunayotaka kama tunavuna shamba la bibi zimepitwa. Tutapigana kila sehemu lakini ukweli wa mambo ni kuwa, times change. Wenye nyumba wanazihitaji. That is it!!
 
Maskini ndo nani kwenye nch hii who cares about them!? Tajiri ndo anahitajika kwenye nch hi dont you see anapigwa vita kila day!
 
Nduguzangu nadhani inabidi tufanye research kidogooo kwa kumbukumbu zangu Ni kwamba sheriaa ya upangaji Ilishabadilishwa - mwenye NYUMBA anapaswa Kutoa notice ya Mwezi mmojaa tu. Kama wapangaji wengini - inabidi tuulize Hawa watu wamepata notice ya Mwezi mmoja? WanApisha shughuli za Maendeleo Ni Jambo Zuri Sana -
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom