Petiro
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 309
- 45
Hongera Mwanakijiji kwa makala hii pamoja na wachangiaji mbalimbali kwa maoni yenu. Kwny mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi - Durban - S.A ilisemwa ktk majiji yenye 'USWAZI' slams na miundombinu dhaifu zaidi Africa ni Dar na Maputo. Mm niko Blantyre - Malawi nashuhudia wenze2 walivyopanga mji wao. Huwezi kuona mafuriko, takataka zikizagaa, maji machafu yakitiririka km hapo Dar.
Kazi ya serikali ni kupanga sera na kusimamia na bila shaka yoyote Magamba wameshindwa kabisa.naamini ktk nchi ya TZ wapigakura mbumbumbu ni waDar na pia tuwaite mazuzu wale wote wanaowachagua magamba ambao kwa miaka 50 ya uhuru wameshindwa kulijenga jiji bora la dar km mfano kwa TZ na makao makuu ya dola.
Hakika Bwana wafumbue macho hawa WaTZ wanaodanganyika na magamba maana wanaangalia lakini hawaoni, wanasikiliza lakini hawasikii na wanafundishwa wala hawaelewi.
Kazi ya serikali ni kupanga sera na kusimamia na bila shaka yoyote Magamba wameshindwa kabisa.naamini ktk nchi ya TZ wapigakura mbumbumbu ni waDar na pia tuwaite mazuzu wale wote wanaowachagua magamba ambao kwa miaka 50 ya uhuru wameshindwa kulijenga jiji bora la dar km mfano kwa TZ na makao makuu ya dola.
Hakika Bwana wafumbue macho hawa WaTZ wanaodanganyika na magamba maana wanaangalia lakini hawaoni, wanasikiliza lakini hawasikii na wanafundishwa wala hawaelewi.