JACADUOGO2.
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 930
- 217
Ni ukweli usiopingika kuwa wakazi wa jiji la Dar Es Salaam ndo wanaokwamisha mageuzi ya kweli hapa Tanzania kwani Dar kila mtu anajifanya yuko bize na mambo yake eti wanatafuta hela! Kwani mikoani watu hawajui kutafuta hela?
Wakazi wa Dar wanapenda kufuatilia sana mambo ya UDAKU kama mambo ya Kanumba, Lulu, Wema, Diamond, Johari, Jokate. UBITOZI NA USHAROBARO kwa kwenda mbele.
Mara nyingi mageuzi yanaanzia kwenye majiji makubwa kama Dar, wakazi wa Dar badilikeni.....!!!!
Wakazi wa Dar wanapenda kufuatilia sana mambo ya UDAKU kama mambo ya Kanumba, Lulu, Wema, Diamond, Johari, Jokate. UBITOZI NA USHAROBARO kwa kwenda mbele.
Mara nyingi mageuzi yanaanzia kwenye majiji makubwa kama Dar, wakazi wa Dar badilikeni.....!!!!