Wakazi wa Arusha walalamika mkoa wao umesimama kimaendeleo sababu ya Meya

&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
komandoo wa matusi.<br />
nadhani ujui mambo ya uchumi wawekezaji wenye hotel, mjini mbugani wanalalamika wageni wamegoma kuja arusha kuofia vurugu za kisiasa!<br />
vile vile ata wawekezaji wa ndani nao wanalalamika wamiliki wa shule watu wanaamisha watoto wao kwenye shule za arusha wanawapeleka nairobi, arusha hali sio shwari

-umefanya tafiti au unabuni tu kutoka kichwani mwako?
- hao wanao hamisha watoto wao ni wapi? Masikini au matajili? Je masikini nao wamepeleka watoto wao nairobi?


Mimi nazani unafikilia kwa kutumia nyuma,
 
Wafanya biashara wa Stendi ya vifodi, maeneo mengine, Mjini Arusha, ambao ni wapiga kura, wameonyesha kuwaunga mkono Madiwani! Wanalalamika kwa nini Dr Slaa atake Maendeleo yetu ya kibiashara yasimame kwa miaka mitano? Kwa nini asifanye hivyo jimboni kwake Karatu au Dar es Salaam anakoishi sasa? Amehoji mpiga kura kijana. Sanja Richard na kusisitiza mimi ni Mwanachama wa CDM, lakini katika hili simuungi mkono Dr Slaa na hata Lema ambao nakiri nilifanya kazi kubwa hapa mjini ya kuwapigia kampeni katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010
 
Hamchoki na propaganda za Mallah. Yeye kama hataki kuomba radhi asubiri tu shoka la kikao cha chama kama anadhani hii ccm.
 
Hamchoki na propaganda za Mallah. Yeye kama hataki kuomba radhi asubiri tu shoka la kikao cha chama kama anadhani hii ccm.
<br />
<br />
Mkuu, haya malalamiko sio ya Mallah. wakazi wa Mjini wa Arusha ndio wanalalamika uchumi umedumaa Arusha kutokana na mgogoro wa Meya
 
JINGA SANA HILI JAMAA LINAFIKIRI ARUSHA NI MAFIA MBONA HUTETEI LINDI MTWARA !acha upimbi ww siasa sio hadithi kama za shigongo!
 
JINGA SANA HILI JAMAA LINAFIKIRI ARUSHA NI MAFIA MBONA HUTETEI LINDI MTWARA !acha upimbi ww siasa sio hadithi kama za shigongo!
<br />
<br />
Hivi mawazo yako na fikra zako za kiuhuni unadhani watu wote wa Arusha wapo kama wewe wapenda fujo na vurugu!
 
wewe nge.ke.nge mimi nipo arusha mbona sijasikia hayo? na taja maendeleo yaliyo simama. kwani madiwani ndo wanatoa pesa za maendeleo? pesa c zinatolewa na serikari? madiwani wanakusanya kodi?
WEWE NAONA UNAFIKILIA KWA KUTUMIA NYUMA. KWANZA HUISHI ARUSHA NA SI ZANI KAMA UNAFAHAMU HATA MTAA MMOJA WA ARUSHA.

HII KAWAKILISHE KWA MAMA YAKO
du kweli wewe KOMANDOO
 
wafanya biashara wa stendi ya vifodi, maeneo mengine, mjini arusha, ambao ni wapiga kura, wameonyesha kuwaunga mkono madiwani! Wanalalamika kwa nini dr slaa atake maendeleo yetu ya kibiashara yasimame kwa miaka mitano? Kwa nini asifanye hivyo jimboni kwake karatu au dar es salaam anakoishi sasa? Amehoji mpiga kura kijana. Sanja richard na kusisitiza mimi ni mwanachama wa cdm, lakini katika hili simuungi mkono dr slaa na hata lema ambao nakiri nilifanya kazi kubwa hapa mjini ya kuwapigia kampeni katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010
kwani miaka mitano ishaisha jamani au ndo hesabu janga la taifa
 
Back
Top Bottom