Sanda Matuta
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 949
- 134
Kutakua na Mkutano siku ya Jumamosi tarehe 25/10/2008 pale Urafiki Social Hall Shekilango/Nyuma ya Urafiki Police kuanzia saa Tisa jioni.
Mkutano ni kwa ajiri ya kuzindua taasisi kwa Maendeleo ya Wilaya ya Bagamoyo ( BADEI ).
Wageni wa waalikwa ni wabunge wetu wa wiliya,Bagamoyo mjini na Bagamoyo vijijini Mh.Kawambwa na Mh.Khalfani.
Mnakaribishwa wote,mpe mwenzio ujumbe huu,kufika kwenu ndio mafanikio ya mkutano huu.
Mkutano ni kwa ajiri ya kuzindua taasisi kwa Maendeleo ya Wilaya ya Bagamoyo ( BADEI ).
Wageni wa waalikwa ni wabunge wetu wa wiliya,Bagamoyo mjini na Bagamoyo vijijini Mh.Kawambwa na Mh.Khalfani.
Mnakaribishwa wote,mpe mwenzio ujumbe huu,kufika kwenu ndio mafanikio ya mkutano huu.