Chama cha wananchi-CUF kimesitisha mkutano wake wa kesho Jangwani kutokana na viwanja hivyo kutumiwa na Kanisa Katoliki katika kongamano maalum la kimataifa.Kongamano hilo litafanyika kwa mwezi mzima.
Source:Tanzania daima
Ni sawa tu maana kukusanyika wale waislam pale wangalikuja na mkakati wa kugomea sensa lakini wanaweza kwenda viwanja vya Biafra wakajipime na Chadema kisiasa .
Naona shitani ameshindwa apo.
Ni sawa tu maana kukusanyika wale waislam pale wangalikuja na mkakati wa kugomea sensa lakini wanaweza kwenda viwanja vya Biafra wakajipime na Chadema kisiasa .
Chama cha wananchi-CUF kimesitisha mkutano wake wa kesho Jangwani kutokana na viwanja hivyo kutumiwa na Kanisa Katoliki katika kongamano maalum la kimataifa.Kongamano hilo litafanyika kwa mwezi mzima.
Source:Tanzania daima