Wakatisha tamaa (Downers)

nakubaliana na wewe ad watu wengi ni downers bila kujijua. Ndio maana nikasema huwa nawapa tution ma housegirl wangu jinsi ya kulea watoto including words that they should not ever use. Nshawahi kumshuhudia h/girl wangu mmoja amekazana kumwambia mwanangu hujuhi huku anamcheka na kumzomea; mwanangu analia. The lady did not know kuwa hiyo ina effect kwa mtoto hata akikua; nikamweka chini nikasema hata kama unadhani huo ni utani jua wazi ni mbaya kwa mtoto wa miaka miwili. Mfano mtoto alikuwa anaimba huku anachapia; yeye kamgeuza kituko.

Mimi wanangu nawalea kwa full misifa; na wakifanya kitu no matter how little or foolish might look watanitafuta niwapigie makofi. Na nimekuja gundua wame grow up being very smart (at least from the feed back i get from school) na mfano huyu wa kwanza wa miaka minne ana akili ya mtoto wa miaka saba. Ni wadadisi hajabu; always wanting to suprise their mother with their inventions

hata kum protect mtoto sana unaweza sababisha 'ashindwe' mbele ya safari..
Tazama mitoto ya geti inavyokuwa,
shule ni international...chuo nje ya nchi,
kazi kwa kimemo....siku anafukuzwa kazi...
Unasikia mtu kajiua.....why ?kwa sababu hakuwahi ku fught his/her own battles.....

P.s. Sio wote wanaosoma nje wako kwenye kundi hilo...
Nazungumzia zaidi wanao kwenda kwa vimemo kila hatua katika maisha yao
hata interview hawapati...
 
Nakubaliana na wewe AD watu wengi ni downers bila kujijua. Ndio maana nikasema huwa nawapa tution ma housegirl wangu jinsi ya kulea watoto including words that they should not ever use. Nshawahi kumshuhudia h/girl wangu mmoja amekazana kumwambia mwanangu hujuhi huku anamcheka na kumzomea; mwanangu analia. The lady did not know kuwa hiyo ina effect kwa mtoto hata akikua; nikamweka chini nikasema hata kama unadhani huo ni utani jua wazi ni mbaya kwa mtoto wa miaka miwili. Mfano mtoto alikuwa anaimba huku anachapia; yeye kamgeuza kituko.

Mimi wanangu nawalea kwa full misifa; na wakifanya kitu no matter how little or foolish might look watanitafuta niwapigie makofi. Na nimekuja gundua wame grow up being very smart (at least from the feed back i get from school) na mfano huyu wa kwanza wa miaka minne ana akili ya mtoto wa miaka saba. Ni wadadisi hajabu; always wanting to suprise their mother with their inventions


Nimependa strategy unayotumia... ni nzuri thou naamini kabisa kua haiko in a free style mode... Kwamba kama you are determined kumpongeza, basi ina maana you are determined kumkemea pia akishindwa... unfortunately nimesoma bandiko la Boss kabla ku jibu hapa which i think one way or another ime-affect what i would have said....

The great thing about all this ni kua the results za wanao zinaonekana zipo positive which is very good.
 
hata kum protect mtoto sana unaweza sababisha 'ashindwe' mbele ya safari..
Tazama mitoto ya geti inavyokuwa,
shule ni international...chuo nje ya nchi,
kazi kwa kimemo....siku anafukuzwa kazi...
Unasikia mtu kajiua.....why ?kwa sababu hakuwahi ku fught his/her own battles.....

P.s. Sio wote wanaosoma nje wako kwenye kundi hilo...
Nazungumzia zaidi wanao kwenda kwa vimemo kila hatua katika maisha yao
hata interview hawapati...

Kuna watu Boss wanaitwa "Monster Parents". Walimu wa watoto mashuleni wanajuta kuwafahamu

Mtoto wao akikosolewa tayari yeye keshamwita mwalimu Downer, Anaupendeleo, anashusha morale ya mwanawe
 
Kwa hiyo mtu anakuwa Downer kwa sababu tu yupo successful na wengine wako insecure japo kuwa hajawahi kuwavunja moyo au kuwaambia mwengine hawezi?

Nashindwa kukubaliana na nadharia hiyo, badala yake naona kama kuhamishia lawama tu kutoka mapungufu ya kujiamini kwenda kwa mtu mwengine. Hawezi kukaa mtu na hamsini zake akaitwa downer kwa sababu tu wengine hawajiamini

PS: Kwa mujibu wa Muanzisha thread "people that are constantly trying to put others down".


Hapo in red yawezekana... Hivo i rest my case.
 
Kuna tofauti kubwa kati ya kumwambia mtoto "you can do better than that" na kumwambia 'wewe Mjinga". Sioni sababu ya kumkemea mtoto akishindwa but ntamwambia una akili sana mwanangu tumia akili yako ipasavyo.

Hata baba yangu nakumbuka nikiwa grade two nilikuwa wa pili nikitegemea baba atanisifia but he said to me (and I still remember vividly); you are brigther than the fist student. Hayo maneno yalinifanya nione term two iko mbali ili ni test kama ni kweli. And from there on was the first in class.



Nimependa strategy unayotumia... ni nzuri thou naamini kabisa kua haiko in a free style mode... Kwamba kama you are determined kumpongeza, basi ina maana you are determined kumkemea pia akishindwa... unfortunately nimesoma bandiko la Boss kabla ku jibu hapa which i think one way or another ime-affect what i would have said....

The great thing about all this ni kua the results za wanao zinaonekana zipo positive which is very good.
 
And you should bear in mind kuwa most of our teachers don't know how to handle students with special needs nikiwa na maana ya slow learners. Walimu wengi speaking from my experience wanapenda watoto bright na hii inawanyima chance slow learners to improve. Walimu wengine mradi anajua kiingereza na ana degree anaenda kufundisha academy. Unategemea saikolojia anaijulia wapi????? Hata mimi nikimjua mwalimu downer namtolea uvivu.


Kuna watu Boss wanaitwa "Monster Parents". Walimu wa watoto mashuleni wanajuta kuwafahamu

Mtoto wao akikosolewa tayari yeye keshamwita mwalimu Downer, Anaupendeleo, anashusha morale ya mwanawe
 
And you should bear in mind kuwa most of our teachers don't know how to handle students with special needs nikiwa na maana ya slow learners. Walimu wengi speaking from my experience wanapenda watoto bright na hii inawanyima chance slow learners to improve. Walimu wengine mradi anajua kiingereza na ana degree anaenda kufundisha academy. Unategemea saikolojia anaijulia wapi????? Hata mimi nikimjua mwalimu downer namtolea uvivu.

walimu wengi wanatimiza 'majukumu' au labda watoto ni wengi saana
hawezi ku 'pay attention' kwa kila mwanafunzi n.k...

sasa kuna vitu viwili..

1.kuna walimu downers...ambao hawafai kwa watoto..

2.kuna wazazi ambao wanataka watoto wao wachuliwe 'special' kama wao wanavyowachukulia home....

hapo unapata 'mgongano'....ambao ndo chanzo cha migogoro mashuleni.....

mimi nimesoma shule zote...za kayumba na za 'private' za 'kishua'....

watoto kwenye shule za 'private' wanaharibika mno.....ili mradi mzazi unalipa pesa

walimu hawaruhusiwi kukupa 'bad news' za mwanao.usije kumhamisha wakakosa pesa...
 
Kuna tofauti kubwa kati ya kumwambia mtoto "you can do better than that" na kumwambia 'wewe Mjinga". Sioni sababu ya kumkemea mtoto akishindwa but ntamwambia una akili sana mwanangu tumia akili yako ipasavyo.

Hata baba yangu nakumbuka nikiwa grade two nilikuwa wa pili nikitegemea baba atanisifia but he said to me (and I still remember vividly); you are brigther than the fist student. Hayo maneno yalinifanya nione term two iko mbali ili ni test kama ni kweli. And from there on was the first in class.

Kimsingi nakubaliana na wewe...lakini ni lazima kuwa makini sana....na kujitahidi kuwa mkweli kwa watoto. Mtoto akigundua kuwa unamsifia hata ambapo mwenyewe anaona clearly hastahili, anaacha kukuamini (they will never take you serious). Nakumbuka kuna mwalimu wangu mmoja chuoni alikuwa akiuliza swali darasani hapendi kukatisha wanafunzi tamaa...hivyo wanafunzi tofauti wanatoa majibu tofauti kwa swali lilelile (hata kama clearly lina jibu moja tu), lakini kila anayemaliza kujibu ataambiwa "you are right", "you are also right"....hatimaye tulikuwa tunamwona kituko darasani!
 
And a smart parent will know when the feedback is a lie au true. Unless kama unawaachia jukumu la kufundisha mtoto walimu. But if you have time to give him home assignment feedback toka shule ina serve purpose ya ranking tu ya mwanao among other students; but a good parent know his/her child's ability.

walimu wengi wanatimiza 'majukumu' au labda watoto ni wengi saana
hawezi ku 'pay attention' kwa kila mwanafunzi n.k...

sasa kuna vitu viwili..

1.kuna walimu downers...ambao hawafai kwa watoto..

2.kuna wazazi ambao wanataka watoto wao wachuliwe 'special' kama wao wanavyowachukulia home....

hapo unapata 'mgongano'....ambao ndo chanzo cha migogoro mashuleni.....

mimi nimesoma shule zote...za kayumba na za 'private' za 'kishua'....

watoto kwenye shule za 'private' wanaharibika mno.....ili mradi mzazi unalipa pesa

walimu hawaruhusiwi kukupa 'bad news' za mwanao.usije kumhamisha wakakosa pesa...
 
Huyo mwalimu ana akili sana. Katika masomo mengi all answers might be true but not relevant. Ndio maana nadhani walimu kama hao mwisho wanatoa conclusion of their normative answer. I hate, na narudia I hated walimu waliokuwa wanaamini kuna one right answer katika social science.

Hii style ya walimu kutaka wanafunzi wafikiri kama wao na wajibu kama wao imefanya wanafunzi wengi wa africa wasiwe innovative; na hawawezi kumpinga mwalimu (au lecturer)

Kimsingi nakubaliana na wewe...lakini ni lazima kuwa makini sana....na kujitahidi kuwa mkweli kwa watoto. Mtoto akigundua kuwa unamsifia hata ambapo mwenyewe anaona clearly hastahili, anaacha kukuamini (they will never take you serious). Nakumbuka kuna mwalimu wangu mmoja chuoni alikuwa akiuliza swali darasani hapendi kukatisha wanafunzi tamaa...hivyo wanafunzi tofauti wanato majibu tofauti kwa swali lilelile (hata kama clearly lina jibu moja tu), lakini kila anayemaliza kujibu ataambiwa "you are right", "you are also right"....hatimaye tulikuwa tunamwona kituko darasani!
 
And a smart parent will know when the feedback is a lie au true. Unless kama unawaachia jukumu la kufundisha mtoto walimu. But if you have time to give him home assignment feedback toka shule ina serve purpose ya ranking tu ya mwanao among other students; but a good parent know his/her child's ability.

sio wazazi wote ni 'smart'
wapo watoto wanawazidi wazazi wao kwa mbinu
nyumbani wako 'so innocents' shuleni ni 'wameshindikana'
 
Hapa Boss umechanganya maharage na mboga (nyama)

Tunaongelea akili za darasani na si tabia. Am not tolerant na tabia chafu ya mtoto nachoongelea hapa ni akili za darasani ambazo kama mzazi ntajua kama mwanagu anazo au hana.

Na kwa kukuongezea, fahamu kuwa mara nyingi watoto wenye akili ni smart na ni wagumu kwenye ulezi kuliko wasio na akili (wazazi wao wana challenge kubwa zaidi). Hence as a parent am vey much aware of that.

sio wazazi wote ni 'smart'
wapo watoto wanawazidi wazazi wao kwa mbinu
nyumbani wako 'so innocents' shuleni ni 'wameshindikana'
 
Huyo mwalimu ana akili sana. Katika masomo mengi all answers might be true but not relevant. Ndio maana nadhani walimu kama hao mwisho wanatoa conclusion of their normative answer. I hate, na narudia I hated walimu waliokuwa wanaamini kuna one right answer katika social science.

Hii style ya walimu kutaka wanafunzi wafikiri kama wao na wajibu kama wao imefanya wanafunzi wengi wa africa wasiwe innovative; na hawawezi kumpinga mwalimu (au lecturer)
Inawezekana ni kweli alikuwa na 'akili sana' lakini wanafunzi tulikuwa 'hatumuamini' kwa sababu alvyokuwa nafanya tulikuwa tunachukulia ni mzaha. Sasa hii ni mbaya kwa mtoto (bahati nzuri katika mfano wangu sisi tulikuwa watu wazima). kuna vitu, hasa, kwenye social science (na hata natural science) vina majibu/maelezo zaidi ya moja lakini maswali mengine ni ya facts tu (kama mtu kachemka, kachemka tu hakuna maelezo mengine) na hapo ndipo hasa ninapopazungumzia.

Kwa kifupi nasema tusifie pale inapostahili kwa kuzingatia context na mtu husika. Majuzi nilikuwa naangalia TV (kipindi cha wanyama) na mtoto mdogo (wa miaka kama mitatu hivi). Sasa ikawa anajaribu kunitajia majina ya wanyama anaowaona...kamwona tembo, akaniambia "elepanti" (sic), nilimsifia taking into account umri wake....nikarudia kutamka "aaah....'elephant'". Akamwona 'simba' akanaiambia 'dog'....bado nikamsifia kwa sababu kwa umri wake he was pretty close! Angalikuwa mtoto wa darasa la nne kamwe nisingemsifia!
 
tatizo watoto wengine mpaka anafikia umri wa 14/15 haonyeshi mwelekeo wa kitaaluma,hata ukimuuliza ungependa baadae uwe nani/ufanye nini,jibu hana.vitoto vingine mapeeeeeeema vishajiamulia vinakwambia baba/mimi nataka nikikua nimiliki jf yangu.

Hii nayo wakati mwingine hua inatokana na malezi....
Ukimlea mtoto kati mazingira ya kujifunza (sio tu masomo ya darasani) na kumpa nafasi ya kuwa mtundu hawezi kosa interest kiasi cha kutojua anapendelea nini kwa wakati huo ambacho anaweza jiendeleza nacho.

sasa Lizzy,nimwache aende tu kwenye ma stage halafu mapedejee wamwone waniibie? kha hata mimi ningemkatisha tamaa,ebo!

Unashindwa nini kuongea nae/kumuomba/kumshawishi/kumshauri asifanye bila kumfanya ajisikie hawezi?
 
Ni kweli malezi yanasaidia mtoto kuwa na focus. Mzazi unatakiwa umpe mwongozo, kama exposure kwenye different alternatives (ambazo ni meaningful) yeye achague. Kuna mtoto niliwahi kumuuliza (jirani yetu) unataka kuwa nani ukiwa mkubwa? akanambia; nataka kuwa konda. Sasa mzazi wake amwache tu akikua awe konda kwa kuwa ndiyo preference???? Japo baba wa mtoto ni dereva but am sure hataki mwanae nae awe dereva ila hajuhi kuwa anatakiwa ku "mentor" mwanae. Watoto wanaitaji muongozo.


Hii nayo wakati mwingine hua inatokana na malezi....
Ukimlea mtoto kati mazingira ya kujifunza (sio tu masomo ya darasani) na kumpa nafasi ya kuwa mtundu hawezi kosa interest kiasi cha kutojua anapendelea nini kwa wakati huo ambacho anaweza jiendeleza nacho.



Unashindwa nini kuongea nae/kumuomba/kumshawishi/kumshauri asifanye bila kumfanya ajisikie hawezi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom