Wakati wa kuacha na wakati wa kushikilia....nataka jibu

uncle Jei Jei..pole sana mkubwa!ghafla umenifanya nijihisi langu ni dogo..DAMN!These female specie, sijui wanataka nini?!!
tatizo kizazi hiki wasichana wanaona ufahali kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja! Wengi (NOTE: SIO WOTE) wanakaa na kushauliana ujinga! Ladies....surely their supposed to turn back!there are not even fear on GOD while HIV and unrespect to ones' feelings take it as small issue!
 
Well unless uliyoandika hapo juu sio sahihi endelea kupigana...thats all I can say.Maana kama mwenzako ameshakwambia hana muda na wewe na kwamba anatoka na mtu mwingine sasa sijui utakua unataka nini kuendelea kumfukuzia.Maybe another ‘heartbreak in the future?!Kama uko tayari kwa hilo mbembeleze mpaka akurudie alafu siku ukimkuta kitandani na mwanaume mwingine akwambie “ulijua kabisa sikufeel ukaning‘ang‘ania kwahiyo amua utakavyo.“
You said it all Lizzy. Asirudi tu kutulilia tena hapa.
 
tatizo kizazi hiki wasichana wanaona ufahali kuwa na mwanaume zaidi ya mmoja! Wengi (NOTE: SIO WOTE) wanakaa na kushauliana ujinga! Ladies....surely their supposed to turn back!there are not even fear on GOD while HIV and unrespect to ones' feelings take it as small issue!
Sema watu wengi kwasababu wote wanaume na wanawake siku hizi kutulia na mtu mmoja ndo wanaona ushamba.
 
Naunga mkono mia ya mia...............lengo la kitu chochote katika maisha ni kuifurahisha nafsi na kuwa na furaha ya kweli(true happiness)kama unakumbana na kitu ambacho ni kinyume na muisho huo its better you let it go...............

Thank you...mambo ya kupigania penzi ambalo linaweza kua hata halipo sitaki.
 
Great...I thought you were one of those people who are always tryanna impose their perception on others.

Look at you using big words and shit…tryna sound important. Better stay in your lane or else I'll have to cut you down to size....
 
Look at you using big words and shit…tryna sound important. Better stay in your lane or else I'll have to cut you down to size....
Ohhh come on now...just admit that you love me so much you can not stay away from my posts
 
Mi nimechelewa kupost ila sidhani kama nimechelewa kuchangia. Kwanza nakupa pole kwa kilichokutokea. Pili nawaunga mkono wote waliokuambia uachane nae.
Juwa kuwa kikuepukacho kina heri na ww. Lkn kwa sasa huwezi kuijuwa heri yenyewe ni ila kadri utavyokaa ndiyo utakavyogundua eidha kwa kuujua undani wake huyo aliyekupiga kibuti au kumpata mwengine aliyebora kuliko yeye.
 
Back
Top Bottom