Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,806
- 59,286
Kitendo cha kua/kumpenda yeye tu badala ya wengine walio jaa mtaani wenye sifa za kila aina ni sababu tosha ya kumuonyesha kwamba ana thamani kwangu.Kitendo cha mimi kuongea nae kila siku..kumweleza mambo yangu na kusikiliza yake ni sababu tosha.Angekua hana thamani ningetumia huo muda kufanya mambo mengine au hata kulala tu.Na huko kumpigania nako kunategemea...kwa kisa kama hichi chako siwezi kuhangaika kwasababu huko ni kuendekeza ujinga...ni wazi kabisa kwamba mtu wa aina hiyo anajifikiria mwenyewe tu.Kama mtu analeta maringo sijui mapozz siwezi kuhangaika kwasababu i dont kiss anyones A double S...na kuomba/kulazimisha/kubembeleza penzi ni turnoff kwangu.Kama mtu anaeonyesha kwamba mimi sio kiwango...that he thinks he could do better namuacha bila hata maswali....sipendi mapenzi ya huruma...au mtu kuonyesha ananifanyia favor kua na mimi.Wakati pekee nnaoweza kumpigania mtu nimpendae ni pale nnapoona ana matatizo yanayomlemea hata kama hayaharibu mahusiano yetu.Zaidi ya hapo...sijui labda sijawahi kupenda ila siwezi kumpigania mtu anaeonyesha kutokuthamini hisia zangu.Kwa nini hasa? dont you think sometimes inabidi upigane mwenzio ajue how worthy they are to u?labda ni ka-situation alichopo ndo kanampa giza kushindwa kuona mbali.Labda ni upweke akaona haitawezekana..sometimes mtu unajisahau tu..**PS** am not trying to justify anything..nauliza tu.