Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,648
Nadhani wakati umefika wa kuanzisha noti kubwa zaidi ya sh 10,000 (~$6/~4). Noti ya 10,000 ni ndogo sana ... yaani imekuwa hadi mtu unajukuta unaenda ATM kila siku! Haya, na huko kwenye ATM zetu, uwepo wa pesa ni bahati, foleni kama kawa, etc. Tuondoleeni hii kero.