Wakati umefika wa CCM kugawanyika

Red
Miaka 50 bado unasema tuamini katika nadharia za ccm na itikadi zake? Hapo umechemsha. Au una tafsiri nyingine ya nadharia?

Black
Hata kina Dr Slaa Wametokea ccm, hivyo tayari kuna upinzani wa kweli ambao chimbuko lake ni ccm

Wapinzani hawasemi sera, itikadi wala nadharia zinazotawala CCM kua ni mbaya. Kiitikadi na kinadharia CCM ni bado chama cha wafanyakazi na wakulima. kiutendaji sana sana utasema CCM imeacha misingi yake ya kiitikadi na kinadharia uvu kutekeleza kama hii na hiki kinaifanya CCM kuonekana ni makini bado kwani wanahitaji watendaji ambao wapo sema hawana au hawapewi nguvu ya utekelezaji na wahuni wachache ndani ya chama...hivi unaweza kukosoa nadharia ya kwamba CCM
hata kelele nyingi za wapinzani zinahusu utendaji na ufuatiliaji wa CCM wa sera zao, ahadi zao, n.k


Dr Slaa alikua mtu mdogo sana CCM bila Bunge la 9 asingekua na impact yeyote. ili kujenga upinzani wa kudumu na wa kweli (siyo opportunism kama hii ya sasa ambapo CDM itapata retaliation na angry votes za CCM na siyo kura zake yenyewe kwa nguvu na ushawishi, na utashi wake yenyewe, kumbuka retaliation votes uwa zinarudi kule kule pindi matumaini yakififia ya watawala wapya)
 
Wapinzani hawasemi sera, itikadi wala nadharia zinazotawala CCM kua ni mbaya. Kiitikadi na kinadharia CCM ni bado chama cha wafanyakazi na wakulima. kiutendaji sana sana utasema CCM imeacha misingi yake ya kiitikadi na kinadharia uvu kutekeleza kama hii na hiki kinaifanya CCM kuonekana ni makini bado kwani wanahitaji watendaji ambao wapo sema hawana au hawapewi nguvu ya utekelezaji na wahuni wachache ndani ya chama...hivi unaweza kukosoa nadharia ya kwamba CCM
hata kelele nyingi za wapinzani zinahusu utendaji na ufuatiliaji wa CCM wa sera zao, ahadi zao, n.k


Dr Slaa alikua mtu mdogo sana CCM bila Bunge la 9 asingekua na impact yeyote. ili kujenga upinzani wa kudumu na wa kweli (siyo opportunism kama hii ya sasa ambapo CDM itapata retaliation na angry votes za CCM na siyo kura zake yenyewe kwa nguvu na ushawishi, na utashi wake yenyewe, kumbuka retaliation votes uwa zinarudi kule kule pindi matumaini yakififia ya watawala wapya)

Kiitikadi ccm si chama cha wakulima na wafanyakazi tena. Baada ya Azimio la Zanzibari itikadi ilihama toka ujamaa kuelekea ubepari. Kinadharia nitakubaliana na wewe kuwa bado kinamtazamo unaouzungumzia, ila kimatendo ni chama cha wenye nacho. Na kinachowafanya wasipate hao watu mahusus wa kutekeleza hizo ilani zao ni kipi?

Kwa upande wa sera naweza nisiwe na shida nao sana ila kiilani napingana nao kwani ahadi walizoahidi hata marekani wanaweza wasizitekeleze kwa muda ambao ccm ilisema itatekeleza. Na ndio tatizo la ilani yao ambayo hata umlete nani ndani ya chama hicho haiwezi kutekelezeka. Na utatekelezaje ilani yako na sera wakati kinadharia itikadi yako ni ujamaa na kivitendo ni ubepari?

Kadhalika kwa mazingira ya sasa hata ccm ikisambaratika ukweli ni kuwa huo mchakato utaongeza nguvu kwa cdm tu kwani si rahisi sana kwa sasa kumuamini mwanaccm ambaye kajitoa huko na akasimama mwenyewe na akakubalika kwa namna inavyotakiwa.
 
Kiitikadi ccm si chama cha wakulima na wafanyakazi tena. Baada ya Azimio la Zanzibari itikadi ilihama toka ujamaa kuelekea ubepari. Kinadharia nitakubaliana na wewe kuwa bado kinamtazamo unaouzungumzia, ila kimatendo ni chama cha wenye nacho. Na kinachowafanya wasipate hao watu mahusus wa kutekeleza hizo ilani zao ni kipi?

Kwa upande wa sera naweza nisiwe na shida nao sana ila kiilani napingana nao kwani ahadi walizoahidi hata marekani wanaweza wasizitekeleze kwa muda ambao ccm ilisema itatekeleza. Na ndio tatizo la ilani yao ambayo hata umlete nani ndani ya chama hicho haiwezi kutekelezeka. Na utatekelezaje ilani yako na sera wakati kinadharia itikadi yako ni ujamaa na kivitendo ni ubepari?

Kadhalika kwa mazingira ya sasa hata ccm ikisambaratika ukweli ni kuwa huo mchakato utaongeza nguvu kwa cdm tu kwani si rahisi sana kwa sasa kumuamini mwanaccm ambaye kajitoa huko na akasimama mwenyewe na akakubalika kwa namna inavyotakiwa.

Well, nafikiri hatuna tofauti kubwa sana kati ya mawazo yetu ya kimsingi. On paper CCM bado makini, ila kama timu hawachezi vizuri, CDM on paper wanaonekana makini (japokua mtu makini kama mimi nahitaji kujua sera zao mahsusi kuhusu kuipeleka nchi hii mahali fulani na siyo tu kuimba nyimbo za CCM hivi , CCM vile Jk hivi Wassira vile, hizi nyimbo hazina maana katika nchi sasa hivi zaidi ya kutueleza malengo ya kuwapa dola na sera gani watazitumia kufikia malengo hayo. Ndiyo maana naita hii sudden rise ya CDM kama ni opportunistic yaani CDM hawajaearn hii kitu bali kupewa kwenye sahani na CCM yenyewe).

Tukiacha haya, uligusia kidogo kua kuna wazuri wachache CCM ambao ukijumlisha na uzuri wa chama kinadharia n.k tunaweza pata serikali makini..na wakijitoa kuanzisha chama chao bado watakua na ushawishi kuhusu urais unaenda wapi 2015!
 
Well, nafikiri hatuna tofauti kubwa sana kati ya mawazo yetu ya kimsingi. On paper CCM bado makini, ila kama timu hawachezi vizuri, CDM on paper wanaonekana makini (japokua mtu makini kama mimi nahitaji kujua sera zao mahsusi kuhusu kuipeleka nchi hii mahali fulani na siyo tu kuimba nyimbo za CCM hivi , CCM vile Jk hivi Wassira vile, hizi nyimbo hazina maana katika nchi sasa hivi zaidi ya kutueleza malengo ya kuwapa dola na sera gani watazitumia kufikia malengo hayo. Ndiyo maana naita hii sudden rise ya CDM kama ni opportunistic yaani CDM hawajaearn hii kitu bali kupewa kwenye sahani na CCM yenyewe).

Tukiacha haya, uligusia kidogo kua kuna wazuri wachache CCM ambao ukijumlisha na uzuri wa chama kinadharia n.k tunaweza pata serikali makini..na wakijitoa kuanzisha chama chao bado watakua na ushawishi kuhusu urais unaenda wapi 2015!
Hopefully tuko pamoja. Kadhalika ukweli ni kuwa huwezi ukawa unashambulia tu. Unajikinga pia, na ndicho wafanyacho cdm. Kumuachia nape aongee tu wakati nafasi yake ni ya propaganda ni hatari kwa chama pinzani. uongo ukirudiwa sana bila kukosolewa hugeuka ukweli. ndio maana ccm nao waliamua kufanya mkutano jangwani kupangua baadhi ya hoja za cdm (ingawa hazikuwa propaganda bali ukweli).

Na kama unazungumzia kuwa opportunist basi hata nchi hii ni opportunist kwani uhuru ulipatikana mezani tu tofauti na majirani zetu. Kadhalika imefka pwenti ambayo chama kimezeeka na kinahitaji kufanyiwa mabadiliko. na mabadiliko hayo ni kuleta chama kipya kwa kuwa walishindwa kuondoa uzee wao kwa kuvua magamba. magamba yanatoka na nyama. Pia ningekuamini kwa kauli yako kuwa cdm ni opportunists kama wangekuea wamebweteka tu kwa kuwa ccm kimeshindwa kutekeleza yale wananchi wanataka. Ni nguvu na akili za ziada zinazotumika katika kuhakikisha kuwa Dola inahama toka ccm.

Ishu ya waadilifu kutoka ccm kadhalika nayo ina michakato yake. Haiwezekani tu itokeee tumeamka tusikie kuwa fulani na fulani wamejitoa ccm. Na wanaenda wapi wakishajitoa? Ishu ya kauli ya Nyerere kutimia pale waadilifu ndani ya chama watakapotoka ni wazi kuwa huo mchakato ulishaanza. Wakijitoa wakajitenga na upinzani uliopo hakika nakuambia kuwa muda ni mchache sana kwao kusimama katika uchaguzi wa 2015. Wajitoe na wajiunge na upinzani makini, whether cdm ama cuf, etc.
 
Raia Fulani ana Wana JF,
Siku zote ukiona Mtu aka Kikundi aka Chama aka Taasisi mambo yanafanywa kwa siri bila Uwazi ujue kuna kitu, so tukirudi kwenye mada yetu kuhusu hili Suala la Katiba Mpya, bila kutafuna Maneno tunaona kama Serikali na Chama Tawala kama wamelazimishwa, hakuna Uwazi kwenye Suala zima, Tunaweza kupata Katiba Mpya lakini isiwe yenye Ubora na yenye kukidhi mahitaji ya Mtanzania.
My Take: Nikimalizia swali lako, Binafsi sioni na sijaona kama tutakuja kupata Katiba Bora, hakuna jambo jema mbele.


mkuu unadhani kwa mchakato wa katiba unaoendelea kuna jambo jema lolote mbele?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom