muhosni
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 1,108
- 152
Shame to all Tanzanian TV media kwa kushindwa kutuonyesha midahalo ya utoaji wa maoni juu ya katiba mpya iliyokuwa inafanyika Dodoma na Karimjee Dar Es Salaam. All the media wanafahamu kama si kujua kuwa watz walikuwa ancious kuona kinachoendelea kwa kuwa ni wa TZ wachache sana walioweza kushiriki.
1. Big shame and ooooohhhhhhhhhhhhhhh buuuuuuuuuuuuhhh toTBC1, kituo chetu cha taifa ambacho kodi zetu ndio zinazoendesha kituo hicho. Ishu ya muhimu na msingi kama hiyo na kushindwa kurusha live waka rusha ishuz zisizo na tija mbele ya wengi. mliogopa au? falsafa yenu ya ukweli na uhakika ipo wapi?Baadae mkatuletea eti Habari Mapsuko (BREAKING NEWS) wananchi walivyokuwa wanang'ang'ania kuingia ukumbini na polisi kutumia nguvu, lengo lenu ni kujenga chuki kuwa watu sio wavumilivu?
2. Big shame to Star Tv waliohaidi wangeonyesha live yanayoendelea Dodoma, tena wakaanza na uchambuzi na picha za nyuma kuonyesha mambo yameeanza halafu wakakatisha matangazo pasipo kutoa taarifa au hata kuomba radhi
3. Shame to Channel Ten ambao falsafa yao ni kutoa habari bila woga wala upendeleo, mbona woga uliwapata kuonyesha midahalo hii?
4. shame to ITV ambao toka mwanzo harakati za katiba mpya zilipo anza ndio kituo pekee waliokuwa wanaonyesha live midahalo hii ila kwa mdahalo huu nao wakaingia mitini na kutuacha kama watoto yatima.
Shame to usalama wa taifa naamini kabisa pia wameingilia uhuru wa vyombo vya habari na kuvitishia mpaka vyote kutoonyesha
All tv Media zina stahili kuiomba radhi jamii ya kitanzania kwa kushindwa kufikia matamanio yetu kwa kushindwa kuwashirikisha watanzania katika midahalo muhimu kama hii kwa mustakabali wa taifa lao na maisha yao kwa ujumla
They still do not think they must be accountable to wananchi in terms of news coverage. Wao wanafukuzia pesa zaidi kuliko kuhudumia wananchi. Mafisadi wakubwa! Wanafiki wakubwa!