Livanga
JF-Expert Member
- Apr 15, 2010
- 469
- 148
Sio kwamba hamsikii kila tukiongea kwenye makongamano, migongano ya hoja, vitimoto na maandamano ni kwamba tu mnaziba masikio na hamfikirii kuwa na mipango dhabiti ya maendeleo zaidi mnawaza kula tu ndio sababu sasa tumeona bora kuwaandikia kwani mkiona tumevaa kila siku labda zitaclick akilini mwenu.
Pata moja kwa ajili yako kuishawishi serikali kuwa na mipango dhabiti ili kupata maendeleo ya kuonekana sio kusemwa tu midomoni alafu hainekana kwa kuridhisha. Waonyeshe kuwa miaka 50 iliyopita hatujaridhika kwa kiasi kikubwa
Tsh. 15,000 tu.
Pata moja kwa ajili yako kuishawishi serikali kuwa na mipango dhabiti ili kupata maendeleo ya kuonekana sio kusemwa tu midomoni alafu hainekana kwa kuridhisha. Waonyeshe kuwa miaka 50 iliyopita hatujaridhika kwa kiasi kikubwa
Tsh. 15,000 tu.