Wakati sheikh Ponda akitaka kamati, Serikali imesema hakuna swali la Dini, Ukabila kwenye sensa

Status
Not open for further replies.

dosama

JF-Expert Member
Dec 25, 2010
912
957
Serikali imetoa tamko na dodoso ambayo itatumika kukusanya sensa ya watu na makazi kuwa vipengere vya Ukabila na Udini havitakuwepo kwa sababu havisaidii katika swala la kimaendeleo na kijamii kwa Mtanzania.

Wakati huo huo Sheik Mponda akiitaka serikali iunde tume huru itakayo jumuisha wakristo, waislam na wapagani ili waweze kutekeleza kipendele cha dini katika kuhesabu idadi ya waislam, Wakristo na wapagani wa nchi hii.


Source: Mwananchi

My concern
Sasa hapa sijui watagoma kama walivyosema
 
Kwanini Waislam hawataki amani ya hii nchi?
_mahakama ya kadhii
_sensa ya kiislamu
_Ndalichako wa kiislamu
_misikiti iwepo mashuleni
_benki za kiislamu
_makanisa yachome, ibaki misikiti
Hakika wenzetu nyie mmedeka sana hadi kinyaa. kwanini msitumie msikiti kuhesabu waislamu?

Ongezea
-Tanzania Kujiunga na OIC
- Mfumo Kiristu
- Hospitali za Mission (DDHs) kupewa ruzuku na serikali (MoU)
- Ijumaa iwe siku ya mapumziko
- Mabucha ya nguruwe, baa za pombe (bia) kuchomwa moto (ref. ZNZ, Mwembechai)
 
Sheik Ponda...what a sheikh! Kazi ipo maana sijui anafikiria nini huyu bwana kuhusu uwepo wa watu wenye dini nyingine.
 
Ongezea
-Tanzania Kujiunga na OIC
- Mfumo Kiristu
- Hospitali za Mission (DDHs) kupewa ruzuku na serikali (MoU)
- Ijumaa iwe siku ya mapumziko
- Mabucha ya nguruwe, baa za pombe (bia) kuchomwa moto (ref. ZNZ, Mwembechai)

Rais si muislamu, kwanini msimshauri aondoe hizo ruzuku kwenye mahospitali? Tunaongea ongea tu mara nyingine. Hospitali za serikali ziko ngapi na zinawafikia wananchi kwa kiasi gani? A wishful thinking
 
Sheikh Ponda anasema hataki Waislamu wahesabiwe. Ni bora watu wasiingilie sensa. Labda tunahitaji lecture khsu sensa kama Prof. Shivji anavyotoa lecture kuhusu katiba. 'Msemaji' gani wa Serikali anayeweza kusema kwamba hakuna Serikali duniani inayohitaji kujua wananchi wake wana dini gani? From which school of government did he learn government? Maneno kama haya ndiyo yanayofanya watu wafiikirie kwamba viongozi wetu ni feki,viongozi wa dini pamoja na serikali,na kwamba maybe it is better if we take things into our hands. Ni kazi ya sensa kuwasaidia watu kujua demographics. Sheikh Issa Ponda anaweza vipi kufikiria kwamba kuhesabiwa Waislamu kutahatarisha maisha yake? Halafu wanaifanya kuwa ugomvi kati ya Wakristu na Waislamu;kwamba Wakristu wanataka waumini wa dini tofauti wahesabiwe,na Waislamu hawataki,wakati haya ni mambo ya sensa ambayo yanafanyika duniani kote;kama kuna kuna sensa,kihesabike kila kitu kinachoweza kuhesabika,sensa ndio hiyo,itumike vizuri,yasitokee majuto baadaye. Leo hii ukitazama katika mtandao utaona demographics za kila pahali duniani. Wangefahamu vipi bila sensa? Hizo data za kabila na dini zinaweza kuamua watu wanapiga kura vipi katika Uchaguzi wa 2015,kwa hiyo it is of interest to political scientists.
Matatizo ya Waislamu nafahamu[buti I don't want to say],ni kwamba there are some misguided folks there ambao wanataka kuanzisha Taifa la Kiislamu,bila kujali kwamba idadi ya Waislamu Tanzania siyo kubwa kuhalalisha jambo kama hilo, kwa hiyo naturally,hawataki kujua Wakristu wako wangapi,na Waislamu wako wangapi.
 
we are not Sister faith ...Nimewachoka hata sitaki kuwasikia hao waliozaliwa kulalamika!
Hapa hawajamaliza kipindi chao wanaleta kelele,subiria after 2015,utawasikia vizuri.
 
Shindwaa kabisa pepo la uchonganishi na uvunjifu wa amani...shindwaaaaaaaa
 
Mimi nataka tuhesabiwa na tujulikane kwa makabila,dini zetu na hata koo zetu kila kitu bwana sensa si ndio hii serikali kwa nini haitaki najua idadi ya wakristo inajulikana kwa sababu wanautaratibu wakuandikisha wakristo kwa mifumo mbalimbali ukijumlisha nchi nzima kufuatana na madhehebu yao idadi itajulikana tuu,waislamu nao idadi yao inajulikana kutokana na madhehebu yao sasa iwekwe kitakwimu kwenye sensa ya taifa period
 
Serikali imetoa tamko na dodoso ambayo itatumika kukusanya sensa ya watu na makazi kuwa vipengere vya Ukabila na Udini havitakuwepo kwa sababu havisaidii katika swala la kimaendeleo na kijamii kwa Mtanzania.

Wakati huo huo Sheik Mponda akiitaka serikali iunde tume huru itakayo jumuisha wakristo, waislam na wapagani ili waweze kutekeleza kipendele cha dini katika kuhesabu idadi ya waislam, Wakristo na wapagani wa nchi hii.


Source: Mwananchi

My concern
Sasa hapa sijui watagoma kama walivyosema

Huyu Sheikh Ponda....anamatatizo sana...

!!!!!!!!!!!!!!
 
Unajua kuna watu ndivyo walivyo, hana jema hana baya, ilimradi yeye ni kulalamika tu.
hata uumpe nini yeye ni lawama tu. Huyu Sheikh, nafikiri hata akifika kwa mola, akapewa pepo atalalamika mbona mimi nik wakati wenzangu wako jehanamu!!?
 
Some simple questions cannot be sovled by nice talks around the table. Mbakora tu wakawaoneshe wake zao.
Hawa wanataka kufanya Tanganyika yao hii.
Mtu ukikosa kazi ya kufanya madhara yake ndo haya.
 
Alafu ukijua kuna waislamu kadhaaaa,what next!!!!kama mtu anania ya kujua idadi ya waumini wake si afanye sensa za kidini .jamani tuacheni utegemezi kila kitu kufanyiwe du!!!
 
Sheikh Ponda anasema hataki Waislamu wahesabiwe. Ni bora watu wasiingilie sensa. Labda tunahitaji lecture khsu sensa kama Prof. Shivji anavyotoa lecture kuhusu katiba. 'Msemaji' gani wa Serikali anayeweza kusema kwamba hakuna Serikali duniani inayohitaji kujua wananchi wake wana dini gani? From which school of government did he learn government? Maneno kama haya ndiyo yanayofanya watu wafiikirie kwamba viongozi wetu ni feki,viongozi wa dini pamoja na serikali,na kwamba maybe it is better if we take things into our hands. Ni kazi ya sensa kuwasaidia watu kujua demographics. Sheikh Issa Ponda anaweza vipi kufikiria kwamba kuhesabiwa Waislamu kutahatarisha maisha yake? Halafu wanaifanya kuwa ugomvi kati ya Wakristu na Waislamu;kwamba Wakristu wanataka waumini wa dini tofauti wahesabiwe,na Waislamu hawataki,wakati haya ni mambo ya sensa ambayo yanafanyika duniani kote;kama kuna kuna sensa,kihesabike kila kitu kinachoweza kuhesabika,sensa ndio hiyo,itumike vizuri,yasitokee majuto baadaye. Leo hii ukitazama katika mtandao utaona demographics za kila pahali duniani. Wangefahamu vipi bila sensa? Hizo data za kabila na dini zinaweza kuamua watu wanapiga kura vipi katika Uchaguzi wa 2015,kwa hiyo it is of interest to political scientists.
Matatizo ya Waislamu nafahamu[buti I don't want to say],ni kwamba there are some misguided folks there ambao wanataka kuanzisha Taifa la Kiislamu,bila kujali kwamba idadi ya Waislamu Tanzania siyo kubwa kuhalalisha jambo kama hilo, kwa hiyo naturally,hawataki kujua Wakristu wako wangapi,na Waislamu wako wangapi.

Andrew, una wazo zuri. Bahati mbaya kama taifa tumefikia mahali ambapo hatuamini takwimu. kukubali kujua idadi ya waislamu, wakristo n.k. pamoja na makabila kutasababisha malumbano ambayo hayatakuwa na mwisho. Tutaanza kwa kusema wengi wa waliohesabu watu walikuwa wakristu au waislamu, au kabila fulani ni hivyo kupendelea upande unaowahusu. Umeyaona ya NECTA wakati Waziri na Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu wakitoka dhehebu moja. Upande mmoja hauna imani na viongozi hao. Ajabu ni nini mtoto wa kiislamu kushindwa somo la kiislamu? Wako Wakiristu wengi wanaoshindwa vibaya somo la bible knowledge. Hata huko Uingereza au Marekani wapo wanafunzi wengi tu wazawa wanaoshindwa vibaya somo la kiingereza. Mtihani ni kitu kingine bwana. Sioni ajabu katika hili. Badala ya kutafuta kiini cha kushindwa tunaelekeza nguvu zetu kutafuta mchawi. sisi watu au taifa la ajabu sana. sijui tunajenga maadili ya namna gani. Kulalamika katika kila kitu.

Pia kumbuka matatizo ya kisiasa na hata usalama huko Nigeria yalianza na nini. Hadi leo Nigeria haijui ina watu wangapi, ni makisio mtindo mmoja. Kwa nini. kwa sababu raslimali za taifa zinagawanywa kwa msingi wa idadi ya watu katika kila jimbo. Mwingereza aliwaacha na majimbo matatu. Katika busara zao wakaona afadhali kuyaongeza ili kupunguza nguvu na ushawishi wa kijimbo. Haikusaidia. Wakaanzisha utaratibu wa kuwa na mzungumzo katika kukalia kiti cha Urais. Haijasaidia sana. sasa tunasikia Boko Haramu na vitimbwi vyao. Hoja yangu ni kwamba tujaribu kujenga misingi ya kuaminiana. na hili linawezekana katika kuweka misingi mizuri ya ugawaji wa keki ya taifa. viinginevyo malalamiko na shutuma kavitakoma.
 
hivi mtu kuwa shekhe unaitaji kuwa na elimu gani...?maana qualifications lazima iwepo.....,
ebu nisaidieni wenzangu....!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom