That's it..vijana hawaelewi..wakikua wataachaYes, it is a daily routine for adullts and mature hunters!But, headache, kujigonga midomo na ulimi for amateurs!tehe, tehe, tehe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
That's it..vijana hawaelewi..wakikua wataachaYes, it is a daily routine for adullts and mature hunters!But, headache, kujigonga midomo na ulimi for amateurs!tehe, tehe, tehe
That's it..vijana hawaelewi..wakikua wataacha
musimo ndugu yangu...unataka tuanze fundishana haya mambo humu ndani? hapo unatakiwa uwe shujaa kwani unaweza kuta na yeye anataka umuongellesheHahahahahaaa sitakikuongelea sana "WAUZA SAMAKI" lakini naongelea hisia ambazo anakuwa nazo binadamu wa jinsia ya kiume pale anapomtaka mtu ambaye ana hisia za ukweli kwake.
Ntakupa mfano, wewe umewahi kuwa na hisia kwa mtu fulani ambaye labda kwa bahati mbaya akawa hajajua hilo, huwa unapata hisia gani ukimuona au hata ikitokea akasogea karibu yako au hata akakuangalia?
musimo ndugu yangu...unataka tuanze fundishana haya mambo humu ndani? hapo unatakiwa uwe shujaa kwani unaweza kuta na yeye anataka umuongelleshe
kaka kweli bana ka totoz umeizimia ile mbaya mipango huwa inakuwa mingi sana plus ka hofu flan
Mbona wote huwa mnakuja kivile vile?
Kuomba No. ya simu, Hapo mnaanza kupiga simu zisizo za msingi. mara karibu Lunch na blah blah Nyingiiii.
hahahahahahahaha!! Balaaa.hatakapo sikia bf wake katangaza ndoa na gal mwingne
daah mkuu kama uko serious kuwa una software naomba unisaidie hiyo kitu. Muhmu mkuu.mbona hii imerahishwa sana siku hizi na matumizi ya technolojia. i have a software that I use
Ofcoz ndivyo inavyokua kwetu wanaume pindi tuwatokeapo wanawake/wasichana tuwapendao... Kumtongoza mwanamke umpendae ni risk, ni kama zile hesabu za probability!Sijui kama ni wanawake wote wanalijua hili, lakini wakati mgumu kabisa anaokabiliana nao mwanaume ni pale anapopanga namna ya kumtongoza (approaching) mwanamke anayempenda sana......................!
Marudio.
Jamani mwanamke ni mwanamke iwe wa kuoa au la, kwa dunia ya sasa kumtongoza mwanamke wala sio issue kabisa otherwise una matatizo.