Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
CCM 2015 wakipona basi tujue kuwa asilimia tisini ya watanzania hawakupiga kura.
Kila mtanzania anajua kuwa ukienda ikulu kuwakuta wakuu wa kaya sio rahisi kwa sababu mmoja yuko bize na safari wakati mwengine kila kukicha anatafuta wapi kuna kasherehe akakate utepe.
Wakati huo huo Makamanda wetu Dr slaa na Mbowe hawalali wanazunguka kijiji hadi kijiji kuwaamsha wanachi na kukiimarisha chama. Huu ni mtaji mzuri sana kwetu Chadema.
Hebu jiulize kulikuwa na sababu gani MKULU kuhudhuria semina ya uzazi wa mpango? mie nadhani hii ni shughuli ya mabwana afya
Kila mtanzania anajua kuwa ukienda ikulu kuwakuta wakuu wa kaya sio rahisi kwa sababu mmoja yuko bize na safari wakati mwengine kila kukicha anatafuta wapi kuna kasherehe akakate utepe.
Wakati huo huo Makamanda wetu Dr slaa na Mbowe hawalali wanazunguka kijiji hadi kijiji kuwaamsha wanachi na kukiimarisha chama. Huu ni mtaji mzuri sana kwetu Chadema.
Hebu jiulize kulikuwa na sababu gani MKULU kuhudhuria semina ya uzazi wa mpango? mie nadhani hii ni shughuli ya mabwana afya