Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
ha ha ha ha ha ha ha ha ah ah ah ah hiyo sasa balaa, yaani huo si uvivu ni upuuthi
itakuwa product za VETA
HALAFU MAGUFULI ANATAMBA KUWA TANZANIA imejenga barabara nyingi sana kwa kutumia pesa zetu! ona usanii kama huu! jamaa inabidi PCCB iwaweke lupango mara moja!
You are one of them!Sioni tatizo
itakuwa product za VETA
kwel kaz tunayo wabongo man miundmbinu haisong mbele inarudi nyuma tu