Wakala wa kupinga sensa akamatwa Singida akigawa vipeperushi vya kugomea sensa kwa Waislam

Tanzania Country Profile

Location: Southeast Africa, with 1,424 kilometers of coastline on the Indian Ocean
Climate: Tropical along the coast but more temperate inland and in the highlands
Population: 41 million
Average Life Expectancy: 52 years
Poverty: Ranks 204 of 229 in wealth, with per capital GDP of $1,400
Economy: 27% agricultural, 23% industrial, 50% services
Government: Gained independence in 1961; republican government
Religions: Christian 30%, Muslim 35%, indigenous beliefs 35%
Languages: Swahili, English, some Arabic
SOURCE: OPPORTUNITY TANZANIA:
HICHO KIPENGELE CHA 35% NDO WANATAKA WAKIONE
 
hivi ni kwanini tunakuwa watumwa wa dini za watu??ukisto wazungu,,uislam waarabu,,waafrika tumeletewa tu hizi dini,,,kwanini sasa waislam wanakuwa na udini??
 
hivi ni kwanini tunakuwa watumwa wa dini za watu??ukisto wazungu,,uislam waarabu,,waafrika tumeletewa tu hizi dini,,,kwanini sasa waislam wanakuwa na udini??

kila mtu anapenda kilicho chake na jinsi alivyo ishiba imani yake... kwenye masuala ya imani mambo huwa magumu sana, Hiyo country profile ulivyoitoa hapo kuna watu ambao hawakubali kuwa waislamu ni aslimia 35. hichi kipengele ndicho kilichosababisha nchi kujiunga na OIC. Kuna wachache waliosema waislam ni wachache kuliko wakristo hivyo OIC haikubaliki..... mpaka leo mjadala umekufa kimya kimya.... lakini wengine mpaka wana balozi zao huku TZ..
 
Siyo rahisi kama unavyoona wewe mkolawake. Inaelekea wewe unajaziba za kidini? Kwa nini usihoji kwa nini anafanya hivyo? Usikurupuke ndugu -jadili kwa hoja, acha jaziba za kidini? :director:
 
Hongera Rom kwa kujadili kwa hoja ziyio jaziba. Hito sensa inayosema waislamu ni asilimia 35 ni ya kanisa, kwa nini sasa muislamu aonekane kuwa na kosa kwa kutaka kuingizwa kipengele cha dini kwenye dodoso? kama siyo muhimu -makanisa na misikiti inahesabiwa kwa lipi? au nchi imekuwa na dini siku hizi? au kwa sababu makanisa yako mpaka kwenye majumba ya watu ili wa- justify kuwa wakristo ni wengi kwa sababu makanisa ni mengi? UPUUZI HUU MPAKA LINI? ni serikali au SIRIKALI ya KINISA? Wanadhani wanazuia kumbe wanapalilia moto
 
Siyo rahisi kama unavyoona wewe mkolawake. Inaelekea wewe unajaziba za kidini? Kwa nini usihoji kwa nini anafanya hivyo? Usikurupuke ndugu -jadili kwa hoja, acha jaziba za kidini? :director:

Wanakurupuka tu hawa ndugu yangu,wanailaumu polisi kwa nini hawajampiga wakati. kila siku wanatoa povu kwa nini polisi wanakiuka haki za binadamu!kuna members wengi humu ukitaka kuona upuuzi wao ije issue ya uislamu utaona maneno ya ajabu alafu wengi ndo wanaoleta thread za kutaka mabadiliko nchini!utanishawish vp muislam kama hauna staha na dini yangu?grow up
 
Hongera Rom kwa kujadili kwa hoja ziyio jaziba. Hito sensa inayosema waislamu ni asilimia 35 ni ya kanisa, kwa nini sasa muislamu aonekane kuwa na kosa kwa kutaka kuingizwa kipengele cha dini kwenye dodoso? kama siyo muhimu -makanisa na misikiti inahesabiwa kwa lipi? au nchi imekuwa na dini siku hizi? au kwa sababu makanisa yako mpaka kwenye majumba ya watu ili wa- justify kuwa wakristo ni wengi kwa sababu makanisa ni mengi? UPUUZI HUU MPAKA LINI? ni serikali au SIRIKALI ya KINISA? Wanadhani wanazuia kumbe wanapalilia moto

Mkuu kuna vitu viko nyuma ya pazia, misikiti na makanisa vinahesabiwa ili iweje? au kwasababu makanisa siku hizi yapo mpaka ya watu binafsi?
 
  • Thanks
Reactions: rom
Tanzania Country Profile

Location: Southeast Africa, with 1,424 kilometers of coastline on the Indian Ocean
Climate: Tropical along the coast but more temperate inland and in the highlands
Population: 41 million
Average Life Expectancy: 52 years
Poverty: Ranks 204 of 229 in wealth, with per capital GDP of $1,400
Economy: 27% agricultural, 23% industrial, 50% services
Government: Gained independence in 1961; republican government
Religions: Christian 30%, Muslim 35%, indigenous beliefs 35%
Languages: Swahili, English, some Arabic
SOURCE: OPPORTUNITY TANZANIA:
HICHO KIPENGELE CHA 35% NDO WANATAKA WAKIONE

Indigenous beliefs 35%! Wow! Kumbe tupo wengi kiasi hiki, huu mchezo wa Al-Shabaab, boko haram,miujiza ya nabii Gwajima n.k. ukiendelea idadi yetu itaongezeka!
 
Ustadhi mmoja katika mkoa wa Singida amekutwa na vipeperushi zaidi ya 53 akivigawa kwa raia wanaoaminika ni wa kiislam ili kuwahamasisha kutojiandikisha katika zoezi la sensa ya watu na makazi mapaka vitu vifuatavyo vitakapowekwa katika dodoso hilo.

1. Kipengere cha dini

2. Uwiano wa mawakala kati ya wakristo na waislam

Source Clauds Fm habari

Hii mijinga inapigania vitu vidogo sana, Hivi mtu mwenye akili timamu ataweza kuzingatia dini za watu wakati wa kupanga mawakala ili kuwe na uwiano? kigezo hapa ni sifa za watu na siyo dini zao.
 
al majununu fununu, yaani wachangiaji wote jazba nyingi juu ya dini yenye kusimamisha haki, sasa tuacheni waislamu tusihesabiwe kisha mjihesabu wenyewe na mashekh dili wa BAKWATA taasisi ya nyerere. sio lazima tulazimishane.
 
Taifa linapofikishwa hapa,kujadili ujinga,na wakorofi wachache kama hawa wakaachiwa,tambua hatuna tena viongozi! Mtu anayeamini kwamba tuna serikali inayotimiza wajibu wake kwa raia wa nchi hii asubiri siku tutakapoanza vuna mazao ambayo serikali inapalilia sasa.
 
MALALAMIKO YA WAISLAM:- 1. Ofisi ya waziri mkuu imetoa kalenda zinazoonyesha wakiristo wapo wengi zaidi ya waislam. 2. Bodi ya utalii ktk tovuti yao wanasema tz ni nchi yenye wakiristo wengi zaidi ya waislam 3. TBC 1-siku ya kuadhimisha miaka 50 ya uhuru walikuwa wakitoa takwimu za idad ya wa tz huku wakisema wakristo ni wengi kuliko. Sasa tunahoji hizi taasisi za serikal wamepata wapi takwimu hizi huku wakijua hakuna sensa ilyowahi kuhoji jini ya mtu kwa miaka hii tz. Ndio maana mashekh wameona kunaumuhimu sasa kujua idadi ya kweli kwa dini. Pia waislam wamekuma wananyimwa fursa ya kujiunga na taasis za kidini kwa kisingizio kuwa ni wachache bila kuonyesha data. Haya leteni hoja hapo sio jaziba.
 
Ustadhi mmoja katika mkoa wa Singida amekutwa na vipeperushi zaidi ya 53 akivigawa kwa raia wanaoaminika ni wa kiislam ili kuwahamasisha kutojiandikisha katika zoezi la sensa ya watu na makazi mapaka vitu vifuatavyo vitakapowekwa katika dodoso hilo.

1. Kipengere cha dini

2. Uwiano wa mawakala kati ya wakristo na waislam

Source Clauds Fm habari


Uwe makini kwenye sensa watu hawajiandikishi na hakuna daftari la wahesabiwa. Neno kipengere unamaanisha nini?

Hata hivyo ni vyema ikafahamika kipengele cha sensa kwenye Dodoso la sensa alikiondoa nani? Na ni kwanini mpaka hivi leo takwimu za dini katika nchi hii bado zipo na zinatumika, kwanini hatujiulizi takwimu hizi zinapatikana je?
 
Hongera Rom kwa kujadili kwa hoja ziyio jaziba. Hito sensa inayosema waislamu ni asilimia 35 ni ya kanisa, kwa nini sasa muislamu aonekane kuwa na kosa kwa kutaka kuingizwa kipengele cha dini kwenye dodoso? kama siyo muhimu -makanisa na misikiti inahesabiwa kwa lipi? au nchi imekuwa na dini siku hizi? au kwa sababu makanisa yako mpaka kwenye majumba ya watu ili wa- justify kuwa wakristo ni wengi kwa sababu makanisa ni mengi? UPUUZI HUU MPAKA LINI? ni serikali au SIRIKALI ya KINISA? Wanadhani wanazuia kumbe wanapalilia moto

Nawashauri Wailam wote wenye chembe ya Imani wasikubali kuhesabiwa mpaka kipengele cha DINI kirudishwe kwenye dodoso la Sensa. Waliokitoa kipengele hicho ni COBA. Sasa nawaomba COBA waache kuvuruga ustaarabu wa nchi yetu, waliyoyafanya yametosha.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom