Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,283
Wakala wa CCM ataka kumpigia kampeni Masha kwa ujanja ujanja ktk kituo cha Rugumbizi hapa Nyamagana wakati watu wakiwa kwenye foleni.Wananchi wakahamaki,umati ukapiga kelele..askari wakamwarest,bila kujali alikua anampigia debe waziri wa mambo ya ndani(ambaye ndiye bosi wa polisi wote) wakamkamata na kumpeleka kituoni..
Hadi tunakwenda mitamboni kituo hiki kilikua bado hakijapata wakala mwingine wa ccm..OLE WAO!
Hadi tunakwenda mitamboni kituo hiki kilikua bado hakijapata wakala mwingine wa ccm..OLE WAO!