Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,510
I dedicate the song "Stuck with each other by Shontelle feat. Akon". Ukienda http://www.youtube.com utaupata hapo.
With love,
JS
shugacake i hate ugandans and pakistan ;-)
I dedicate the song "Stuck with each other by Shontelle feat. Akon". Ukienda http://www.youtube.com utaupata hapo.
With love,
JS
Sasa Nyani hapa tunazungumzia malavidavi kwa wakaka wa JF, hao Ugandans na Pakistans wanakujaje hapa?........... Ubaguzi au tusome katikati ya mistari??.:banplease:shugacake i hate ugandans and pakistan ;-)
Nothing but Love Preta...
I have had a chance of meeting many JF members na pamoja na post nyingi tunazotuma, all of them have been very loving respecting and more important watu wenye maadili sana... sijawahi kukutana na incidence ya ajabu wala vituko nikiwa na wa-JF. All consultations tunazofanya kuhusu kazi na maendeleo zimezaa matunda na hakuna cha kuongeza... WE HAVE USED JF EFFECTIVELY HASA KWENYE MAENDELEO
nANI kama wadada wa JF?? always good advisors na wametuvumilia sana na valeur na red label zetu
Actually tungeweza kuifanya hii wiki iwe ya heshima upendo na amani kwa wana JF wote... ni wiki spesho sana kwa watanzania
Thanks a million Preta
Thanks Preta for bringing this up..... Surely JF Brothers are more than Brothers to Us. We appreciate their Love and Care for us and we do love and care about you guys ..... sana tu!!
Sasa Nyani hapa tunazungumzia malavidavi kwa wakaka wa JF, hao Ugandans na Pakistans wanakujaje hapa?........... Ubaguzi au tusome katikati ya mistari??.:banplease:
very true mamito, JF brothers are nice. :thumb:Leo nimeamka na passion juu yenu, ninasikia kuwapenda sana leo kuliko siku zingine....I dedicate this day to you all, thank you for taking good care for all of us ladies wa JF, mmekuwa mkituchukulia kwa upole na kuonyesha ni kiasi gani mnatujali. Special thanks to Invisible (I love you so much) coz hujawahi kumpa BAN mdada yeyote,hata wewe Malaria Sugu umekuwa kizungumkuti lakini nakupenda pia....:kiss: :kiss: :kiss:
Ladies naomba mpendekeze wimbo wa kuwadedicatia our lovely brothers........
:thumb::thumb: Thanks Preta for the love, ningekuwa sikujui ningehisi u have just posted for funny ila wewe ni mkarimu na mwenye upendo. Stay blessed always
very true mamito, JF brothers are nice. :thumb:
Opssss!! S.O.R.R.Y...............was just pulling ya leg bro!!mwanajamiione, with due decorum, you are not my chocolate chip shugacake cookie dough! Or, are you?
Leo nimeamka na passion juu yenu, ninasikia kuwapenda sana leo kuliko siku zingine....I dedicate this day to you all, thank you for taking good care for all of us ladies wa JF, mmekuwa mkituchukulia kwa upole na kuonyesha ni kiasi gani mnatujali. Special thanks to Invisible (I love you so much) coz hujawahi kumpa BAN mdada yeyote,hata wewe Malaria Sugu umekuwa kizungumkuti lakini nakupenda pia....:kiss: :kiss: :kiss:
Ladies naomba mpendekeze wimbo wa kuwadedicatia our lovely brothers........