Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
Mamito una vituko wewe...umenifanya nicheke mwenyewe kaa chizi... umepona lakini??
nipo poa kaka
Mamito una vituko wewe...umenifanya nicheke mwenyewe kaa chizi... umepona lakini??
haisahauliki sasa? nifanyeje?Smile bana acha hiyo bana,tukiwa tunakumbuka hayo itatutia unyonge bana.
Kusahau huwa ni ngumu sana labda itokee nimepata Cardiac Arrest ....paa la nyumba lilikuwa linavuja ikabidi nihamie stoo..Angel willl keep me company thou
hahahahaahahah lol
acha kunichekesha mwehhh..
we unakumbuka Bday tu.. hata siku moja
sijawahi kusikia Happy anniversary hunny ..
oohhhhh kuna kitu ntakwambia kuhusu my baby Angel ...
Kwanza m very glad ile sumu haikukuua, pili nimekumiss sana na tatu hiyo signature yako imenifurahisha maana unataka kusema wengine tungekuwa tunawatumia kama vyandarua na tunawawekea na ngao ya muda mrefu?haisahauliki sasa? nifanyeje?
Smile bana acha hiyo bana,tukiwa tunakumbuka hayo itatutia unyonge bana.
mimi sijui bwanakwanza m very glad ile sumu haikukuua, pili nimekumiss sana na tatu hiyo signature yako imenifurahisha maana unataka kusema wengine tungekuwa tunawatumia kama vyandarua na tunawawekea na ngao ya muda mrefu?
hahahahahah lohhhh
umenichekesha kwali lohhh
kwa hiyo we ni wale wa.. Birthday imepita, sijui
wedding anniversary kwisha tunasubiri death day tu??
au nimekosea
Bado si mpaka November...kuna Anniversary mbili ya kwako na ya Angel...lolhahahahaahahah lol
acha kunichekesha mwehhh..
we unakumbuka Bday tu.. hata siku moja
sijawahi kusikia Happy anniversary hunny ..
oohhhhh kuna kitu ntakwambia kuhusu my baby Angel ...
Haya bhana ila usiwaze sana siku ulipoachwa coz that will make u hate watu woteeeeeeeemimi sijui bwana
Naw kwa mtizamo wangu ni kwamba u dont need to reming us coz najua kama ni kweli mtu anakupenda hawezi kusahau matukio muhimu kama birthday na annivesaries ingawa huwa tunasahau siku tunayoanza kuwaaproach na siku mliyotukubalia na matukio mengine (its nature thats why men do not have diaries kuweka matukio ya hivyo but women do)
Tatizo kubwa ni mtazamo, kuna wanaohisi habari za birthdays ni za kitoto au za kuiga sana na wao hawako into them sana ingawa hii haimaanishi hawakumbuki.
Pili ni kutokuwa na uhakika nini cha kufanya inapokuwa birthday yako, akutoe out, akununulie zawadi, akuandalie party au akufanyie kitu gani mwisho siku inapita.
Mwisho wanawake kutokuwa tayari kusema what do they need from their men na mara nyingi hutegemea mwanaume ndio aamue what to do (this is worldwide though)
Naomba kwa sasa niishie hapa ntaendelea baadae......
Ila mekumiss we mdada
Aksantesana kwa kunipa pole.....Sijawahi kuomba ushauri kwani huwa napania nikumbuke na kujiaminisha kuwa nitakumbuka walau mwaka mmoja nifanye Suprise kwa mfano ya mwaka huu nilijiaminisha hivyo na nikawa nakumbuka siku 3 kabla from there nilikuja kukumbuka siku 2 baadaye....